• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Lushoto District Council
Lushoto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto

  • mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Historia
    • Dira na Dhamira
      • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Muundo
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Utumishi na Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufatiliaji
        • Planning
      • Afya
        • Healthy
      • Fedha na Biashara
        • Finance
      • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
        • Elimu ya sekondari
      • Maji
        • water sector
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
        • Agriculture and Irrigation
      • Huduma za ufugaji
        • Huduma za ufugaji
      • Maliasili Ardhi na Mipango Mji
      • Maendeleo ya Jamii Wanawake Vijana Watoto na Wazee
        • Community development
      • Ujenzi na Zima Moto
        • Works and fire rescure
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
        • Internal Auditor unit
      • Teknolojia ya Habari na mawasiliano
        • Information communication and public Relation
      • Manunuzi na Ugavi
        • Manunuzi na Ugavi
      • Mazingira na Usafi
        • Environment and sanitation
      • Uchaguzi
        • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezajia
    • Vivutio vya Utalii
      • Tourist attraction investiment area
    • Kilimo
      • Agriculture Investment Areas
    • Mazao ya misitu
      • Forest products
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
      • Health services offered
    • Huduma za Elimu
      • Education services offered
    • Huduma za Kilimo
      • Agriculture services offered
    • livestock and fisheries services
      • livestock and fisheries services offered
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Uchumi Uongozi na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati za maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba mbalimbali
    • Ghala la Picha

Agriculture Investment Areas

Sekta
Aina ya mradi wa uwekezaji
Maelezo ya mradi
Mapendekezo ya mfumo wa uwekezaji
Eneo lililopo na mahali lililpo
Mazingira rafiki yanayoruhusu  uwekezaji
  • KILIMO
Ujenzi wa mashine ya kisasa kwa ajili ya  kukoborea mpunga –Mng’aro
Uwekezaji huu unahitajika sana kwa sababu kwa sasa wakulima wanauza mpunga badala ya mchele na hii ni kwa sababu hakuna mashine nzuri za kukoboa mpunga. Kwa mfano uzalishaji kwenye skimu hii umeongezeka kutoka tani 3 kwa hecta mwaka 2008 hadi tani 5.5 mwaka 2010 kutokana na mafunzo waliyopatiwa wakulima kati ya mwaka 2008/2009 hadi 2011/2012. Uzalishaji umeongezeka lakini hakuna soko la uhakika kwa sababu mazao hayajaongezewa thamani kitu kinachowavunja moyo sana wakulima.
Ubia kati ya serikali na wananchi
Wilaya ya Lushoto ina skimu nne maarufu kwa kilimo cha Umwagiliaji yaliyopo kwenye kijiji cha Mng’aro, Lunguza, Kivingo na Kwemkwazu, vijiji hivi vipo kwenye kata ya Mng’aro, Lunguza na Mnazi ambazo zipo tarafa ya Umba iliyopo kwenye ukanda wa tambarare upande wa Kaskazini mwa Wilaya ya Lushoto Mkoani Tanga. Skimu hizi zipo kati ya 70 to 100 km kutoka Lushoto mjini na zimpakana na Hifadhi ya taifa ya Mkomazi.
Serikali/Halmashauri imetoa eneo kwa ajili ya shughuli za uwekezaji
Kuanzisha kituo cha mashine za Kilimo 
Shughuli nyingi kwenye hii skimu  ikiwa ni pamoja na maandalizi ya shamba, uchakataji wa mbegu, uvunanji na usafirishaji unafanywa kwa mikono kitu kinachofanya ufanisi kuwa mdogo sana, Hivyo kama uwekezaji wa mashine mbalimbali kama trekta, jembe la kukokotwa na ng’ombe, mashine ya kupandia mpunga, mashine za kusafirishia na za kuvunia utafanyika kwa ajili ya kufanya shughuli mbalimbali zitaazimwa na kufanya kazi hizo. Hii itapelekea kuongeza eneo la uzalishaji, kuotesha kwa wakati na kuongeza ufanisi katika kilimo kwenye skimu hii ya Mng’aro.
Ubia kati ya muwekezaji,wananchi na Halmashauri.
Eneo hili lipo katika nyuzi 9498050N - 9501400N, 430450E – 437600 Mashariki  na muinuko wa mita 400 toka usawa wa bahari na linafikika kwa mwaka mzima.
Serikali/Halmashauri  imeridhia uwekezaji kufanyika katika eneo hili.
Uwekezaji kwenye maduka ya pembe jeo za kilimo. (Mng’aro na Lunguza)
Fursa iliyopendekezwa kwa maeneo ya Mng’aro na Lunguza ni uanzishaji wa Maduka ya pembejeo za kilimo.Serikali inatoa mbolea na mbegu za ruzuku kwa wakulima katika skimu hii lakini hazi wafikii wakulima wote. Hivyo basi uanzishwaji wa maduka haya utawezesha wakulima kupata pembe jeo hizi kwa wakati kwa kutumia vocha hivyo kuongeza uzalishaji.
Ubia kati ya muwekezaji serikali na wananchi
Eno lenye uhitaji wa huduma hii yanafikika kwa mwaka mzima suala ambalo limuahakikishia muwekezaji
Wakulima wako tayari kutoa ushirikiano endapo huduma hiyo itapatikana sambamba na mahitaji yao.
Kutanua eneo la kilimo na Kuanzisha kilimo cha Mkataba–Lunguza na Mng’aro
Eneo linalolimwa ni 1,530ha kati ya eneo la zaidi ya 3,030ha. linalofaa kawa kilimo.Kama atapatikana mwekezaji anayetumia mashine na ujuzi wa kisasa atakayelima eneo linalofaa kwa kilimo na ambalo halilimwi husuani Lunguza ambapo eneo kubwa linalofaa kulima halijalimwa, uzalishaji utaongezeka zaidi ya mara mbili kwani eneo lililolomwa ni karibu ya nusu ya eneo linafaa kwa kilimo cha umwagiliaji.
 Ubia kati ya muwekezaji na wananchi
Kwa mwaka eneo hili linapata kati ya 600mm–750mm za mvua. Hali ya joto ni kati ya 25oC and 30oC na hali ya unyevu wa 70%. Skimu ipo kati ya Longitudo 9498050N - 9501400N na Latitudo 430450E - 437600E pia lipo 400m juu kutoka usawa wa bahari.
Wakulima wako tayari kutoa ushirikiano endapo huduma hiyo mikiwepo.
Eneo hili linapendekezwa kwa uwekeaji wa viwanda vya kusindika MALINDI -KILUWASHA
 
Uhitaji wa kuongeza thamani mazao ya mbogamboga ni mkubwa na hivyo umuhimu wa kujenga kiwanda kidogo cha usindikaji unaonekana. Idadi kubwa ya wakulima watakuwa na uhakika wa upatikanaji wa soko la bidhaa zitakazozalishwa na kuongezwa thamani.Eneo hili linamilikiwa na serikali ya kijiji cha Malindi ambao ndio waliohakikishia kuwa tayari kumkaribisha mwekezaji kwa ajili ya kulitumia eneo hili lenye umeme wa
Ubia kati ya muwekezaji na wananchi
Eneo hili linafika kwa mwaka mzima kupitia uwepo wa barabara ya changarawe kutoka Lushoto mjini mpaka Malindi kwa umbali wa kilometa 70 -100 na muinuko wa mita 1622 kutoka usawa wa bahari.
Serikali ya kijiji kupitia ridhaa ya wananchi imeridhia uwekezaji kufanyika katika eneo hili.

Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE MAFUNZO UANDIKISHA WA WAPIGA KURA NA UENDESHAJI MFUMO WA UANDIKISHAJI WA (BVRS) February 08, 2025
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA KATA YA MNAZI February 19, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III KUANZIA TAREHE 17/03/2021-18/03/2021. March 08, 2021
  • MKURUGENZI MTENDAJI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA LUSHOTO ANAWATANGAZIA WANANCHI WOTE KUWA VIKUNDI VYOTE VYA KIJAMII VYA KUWEKA NA KUKOPA (VICOBA, VSLA, HISA, LIMCA NK) April 06, 2021
  • Agalia

Habari mpya

  • MHE. KUBECHA AKABIDHI NG’OMBE BORA WA MBEGU KWA WAFUGAJI WA TARAFA YA UMBA

    August 12, 2024
  • MHE. KUBECHA AKABIDHI NG’OMBE BORA WA MBEGU KWA WAFUGAJI WA TARAFA YA UMBA

    August 12, 2024
  • MKUU WA WILAYA YA LUSHOTO AFANYA ZIARA KATA YA MANOLO

    July 03, 2024
  • MKUU WA WILAYA YA LUSHOTO AFANYA ZIARA KATA YA MANOLO

    July 03, 2024
  • Agalia

Video

HOTUBA FUPI YA KATIBU MWENEZI KITAIFA WA KATI WA ZIARA FUPI ALIYOIFANYA KATIKA WILAYA YA LUSHOTO
Video nyingine

Maunganisho ya haraka

  • organisation structure
  • COUNCIL HISTORY
  • TAMISEMI

Tovuti zenye Mahusiano

  • TOVUTI YA MKOA WA TANGA
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2019
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • National website
  • UTUMISHI

Waangaliaji wa nje

world map hits counter

Waangaliaji wa ndani

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    MAGUZONI, 18 BARABARA YA HALMASHAURI, 21782 Lushoto,Tanga

    Postal Address: P.O.BOX 32 Lushoto

    Telephone: +255(027)2977216

    Mobile: +255 755 723 374

    Email: ded@lushotodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto.Haki zote zimeifadhiwa