• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Lushoto District Council
Lushoto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto

  • mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Historia
    • Dira na Dhamira
      • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Muundo
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Utumishi na Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufatiliaji
        • Planning
      • Afya
        • Healthy
      • Fedha na Biashara
        • Finance
      • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
        • Elimu ya sekondari
      • Maji
        • water sector
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
        • Agriculture and Irrigation
      • Huduma za ufugaji
        • Huduma za ufugaji
      • Maliasili Ardhi na Mipango Mji
      • Maendeleo ya Jamii Wanawake Vijana Watoto na Wazee
        • Community development
      • Ujenzi na Zima Moto
        • Works and fire rescure
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
        • Internal Auditor unit
      • Teknolojia ya Habari na mawasiliano
        • Information communication and public Relation
      • Manunuzi na Ugavi
        • Manunuzi na Ugavi
      • Mazingira na Usafi
        • Environment and sanitation
      • Uchaguzi
        • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezajia
    • Vivutio vya Utalii
      • Tourist attraction investiment area
    • Kilimo
      • Agriculture Investment Areas
    • Mazao ya misitu
      • Forest products
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
      • Health services offered
    • Huduma za Elimu
      • Education services offered
    • Huduma za Kilimo
      • Agriculture services offered
    • livestock and fisheries services
      • livestock and fisheries services offered
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Uchumi Uongozi na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati za maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba mbalimbali
    • Ghala la Picha

Tourist attration investiment areas

Sekta
Aina ya mradi wa uwekezaji
Maelezo ya mradi
Mapendekezo ya mfumo wa uwekezaji
Eneo lililopo na mahali lililpo
Mazingira rafiki yanayoruhusu  uwekezaji
  • UTALII
Sehemu ya malazi ya watalii-Mnazi (Tourism facility)
Katika eneo hili uwekezaji utalenga utalii wa ndani na nje. Wageni wanaotembelea Hifadhi ya Taifa Mkomazi kupitia Lushoto wanauhitaji mkubwa wa sehemu ya kupumzika na kulala. Kwa sasa hoteli moja tuu ambayo ipo 10km kutoka eneo hili, hivyo kutona na umbali na uchache wa vyumba vya kupumzikia mahitaji ya sehemu ya kupumzikia ni mkubwa kwenye maeneo yanayozunguka MKONAPA
Ubia kati ya wananchi na muwekezaji
Eneo lillilopendekezwa kwa ajili ya kuanzisha sehemu ya kupumzikia watalii lipo katika Kata ya Mnazi kijiji cha Kwemkwazu ambapo ni 147km Kutoka Lushoto Mjini. Eneo hili lipo 502m juu kutoka usawa wa bahari, 431664 easting, 951659 northing; na lina ukubwa wa 20 hecta, linamilikiwa kiuhalali na Halmashauri ya Kijiji cha Kwemkwazu.
Serikali ya kijiji kupitia ridhaa ya wananchi imeridhia uwekezaji kufanyika katika eneo hili

Sehemu ya malazi ya watalii-Tourists accommodation facility-Malindi
Eneo hili lipo pembezoni mwa barabara inayoelekea Mtae ambapo Hotel maarufu ya Mambo View ipo, nusu kilometa kutokea Papaa mozee kwenye kijiji cha Malindi, linaukubwa wa ekari 5 maarufu kama shamba la miwati. Kutokea kwenye eneo hili mandhari nzuri ya Mlalo inaonekana kwa chini na vijumba vya kihistoria vya kijiji cha Malindi vinaonekana kutokea hapa ambapo ni 1785m juu kutokea usawa wa bahari.
Ubia kati ya wananchi na muwekezaji.
Eneo hili linafikika kwa njia ya barabara ya Lushoto - Mtae ya changarawe iliyopo chini ya TANROADS kupitia Malindi, Kutoka malindi ni umbali wa 1km hadi kwenye eneo hili.
Uhakika wa Soko
Eneo hili lipo sehemu yenye hali ya hewa tulivu ya mlimani ambayo watalii wengi wanapenda sana kupunzika kwenye maeneo yenye hali hii ya hewa.
Serikali ya kijiji kupitia ridhaa ya wananchi imeridhia uwekezaji kufanyika katika eneo hili.
 

 

Eneo linalopendekezwa aka ajili ya ujenzi wa miundo mbinu ya amalazi ya watalii-Mnazi

Eneo lililopendekezwa kwa ajili ya ujenzi  wa Hoteli ya kitalii na muonekano wa eneo la mlalo tokea kwenye eneo

Sekta
Aina ya mradi wa uwekezaji
Maelezo ya mradi
Mapendekezo ya mfumo wa uwekezaji
Eneo lililopo na mahali lililpo
Mazingira rafiki yanayoruhusu  uwekezaji
UTALII
Ujenzi wa miundombinu ya malazi kwa watalii.
Eneo hili linafikika vizuri kwa barabara ya changarawe ya Mbelei – Baga – Mgwashi inayopitika mwaka mzima kitu kinachomuhakikishia muwekezaji uhakika wa kufika kwenye eneo hili bila tatizo. Kwa sasa usasiri maarufu unaotumika kufia katika eneo hili ni wa basi na pikipiki. Uhakika wa usafiri unahakikishia kuwa eneo hili lina fursa ya uwekezaji.
Ubia kati ya wananchi na muwekezaji
Kijiji cha Baga kimependekeza eneo moja kwa ajili ya uwekezaji. Eneo hili lipo kati ya 435884 Mashariki na 947846 Kaskazini. Eneo hili lipo 20 km kutoka Lushoto Mjini na 22km kutoka Bumbuli mjini, pia lipo 1622 m kutoka usawa wa bahari.
 
Serikali ya kijiji kupitia ridhaa ya wananchi imeridhia uwekezaji kufanyika katika eneo hili.

Matangazo ya Kawaida

  • MAJINA YA WALIOITWA KWA KAZI YA MUDA YA UKUSANYAJI WA ANUANI ZA MAKAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA LUSHOTO March 18, 2022
  • TANGAZO LA KAZI ZA UDEREVA NA KATIBU MAHSUSI May 23, 2022
  • Matokeo ya Uchaguzi kwa wanafunzi wa kidato cha kwanza 2023 yatangazwa, bofya link hapa chini kuona waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza 2023 kwa upande wa Halmashauri ya Lushoto December 14, 2022
  • MATOKEO YA DARASA SABA YATANGAZWA November 22, 2020
  • Agalia

Habari mpya

  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI

    February 26, 2023
  • ZIARA YA KATIBU WA MWENEZI KATIKA WILAYA YA LUSHOTO

    February 22, 2023
  • SULEIMANI MZEE SULEIMANI KATIBU WA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) MKOA WA TANGA AFANYA ZIARA YA KUTEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA LUSHOTO

    February 03, 2022
  • MAAFISA UGANI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA LUSHOTO WAKABIZIWA PIKIPIKI

    January 21, 2022
  • Agalia

Video

HOTUBA FUPI YA KATIBU MWENEZI KITAIFA WA KATI WA ZIARA FUPI ALIYOIFANYA KATIKA WILAYA YA LUSHOTO
Video nyingine

Maunganisho ya haraka

  • organisation structure
  • COUNCIL HISTORY
  • TAMISEMI

Tovuti zenye Mahusiano

  • TOVUTI YA MKOA WA TANGA
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2019
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • National website
  • UTUMISHI

Waangaliaji wa nje

world map hits counter

Waangaliaji wa ndani

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    MAGUZONI, 18 BARABARA YA HALMASHAURI, 21782 Lushoto,Tanga

    Postal Address: P.O.BOX 32 Lushoto

    Telephone: +255(027)2977216

    Mobile: +255 755 723 374

    Email: ded@lushotodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto.Haki zote zimeifadhiwa