• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Lushoto District Council
Lushoto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto

  • mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Historia
    • Dira na Dhamira
      • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Muundo
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Utumishi na Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufatiliaji
        • Planning
      • Afya
        • Healthy
      • Fedha na Biashara
        • Finance
      • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
        • Elimu ya sekondari
      • Maji
        • water sector
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
        • Agriculture and Irrigation
      • Huduma za ufugaji
        • Huduma za ufugaji
      • Maliasili Ardhi na Mipango Mji
      • Maendeleo ya Jamii Wanawake Vijana Watoto na Wazee
        • Community development
      • Ujenzi na Zima Moto
        • Works and fire rescure
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
        • Internal Auditor unit
      • Teknolojia ya Habari na mawasiliano
        • Information communication and public Relation
      • Manunuzi na Ugavi
        • Manunuzi na Ugavi
      • Mazingira na Usafi
        • Environment and sanitation
      • Uchaguzi
        • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezajia
    • Vivutio vya Utalii
      • Tourist attraction investiment area
    • Kilimo
      • Agriculture Investment Areas
    • Mazao ya misitu
      • Forest products
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
      • Health services offered
    • Huduma za Elimu
      • Education services offered
    • Huduma za Kilimo
      • Agriculture services offered
    • livestock and fisheries services
      • livestock and fisheries services offered
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Uchumi Uongozi na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati za maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba mbalimbali
    • Ghala la Picha

Information commucation Technology

Kitengo cha Teknolojia ya Habari na mawasiliano (TEHAMA) ni moja wapo ya Vitengo sita na Idara  kumi na mbili zinazounda Halmashauri ya Lushoto chini ya Mkurugenzi na Baraza la madiwani.Kimuundo kitengo cha TEHAMA  ni Kitengo kinachojitegemea kwahiyo kitengo hiki kinaongozwa na Mkuu wa Kitengo cha TEHAMA ambaye anaripoti moja kwa moja kwa Mkurugenzi  Mtendaji na ndiye mshauri mkuu wa Mkurugenzi Mtendaji katika  maswala yote ya TEHAMA.  Kazi kubwa ya kitengo hiki nikusimamia mifumo na vifaa vyote vya TEHAMA katika Idara zote za Halmashauri. Vifaa vya TEHAMA ambavyo vinasimamiwa na kitengo cha TEHAMA ni kama ifuatavyo:- Personal computers, Computer mpakato(Laptop),printers , scanners, photocopier machine,UPS, Biometric mashine, vifaa vya network kama vile switch, router, modem, data rack,miundombinu ya mitandao ya ndani(LAN) pamoja na  vifaa vya TEHAMA kitengo kinasimamia mifumo mbalimbali kama vile:- Mfumo kuandaa bajeti na kutoa taarifa (planrep), Mfumo wa ukusanyaji mapato ya serikali katika serikaliza mitaal(Local government revenue collection information system-LGRCIS).Mfumo wa kusimamia malipo na matumizi katika serikali(epicor),Mfumo wa kusimamia rasilimali watu(human capital management infoomation system-HCMIS) ,Mfumo wa kusimamia matumizi ya fedha za serilali katika vituo vya kutolea huduma kama vile hospitali,vituo vya afya ,Zahanati ,shule za msingi na sekondari (FFARS),Mfumo wa taarifa za vifaa na wanafunzi katika shule za elimu msingi na sekondari(BEMIS),Mfumo wa kutunza taarifa za wanafunzi wa shule za Msingi (PreM),Mfumo wa kutunza taarifa za wanafunzi wa shule za Sekondari (PreMS),Mfumo wa madai na madeni ya watumishi(MADENIMIS),Mfumo wa taarifa za wagonjwa,dawa na vifaa tiba katika vituo vya kutolea huduma za afya(GoT-HoMIS) ,Mfumo wa Vibali vya Kusafiri nje ya nchi, Mfumo wa ugawaji Vitambulisho kwa wajasiriamali wadogo na Mfumo selform kwa ajili ya taarifa za shule za sekondari.

MIUNDOMBINU YA TEHAMA

Miundombinu ya TEHAMA imeimarika katika ofisi zote za Halmashauri ambazo ziko katika ofisi kuu ya Halmashauri ambayo ni jengo lenye ghorofa tatu zenye watumishi zaidi ya elfu moja . Kila ofisi mifumo ya data na voice imesimikwa.Ofisi zote za wakuu wa Idara zimeunganishwa na simu za ndani(intercommunication) kwa ajili ya kurahisisha mawasiliano ya ndani kwa wakuu wote wa Idara

Matangazo ya Kawaida

  • MAJINA YA WALIOITWA KWA KAZI YA MUDA YA UKUSANYAJI WA ANUANI ZA MAKAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA LUSHOTO March 18, 2022
  • TANGAZO LA KAZI ZA UDEREVA NA KATIBU MAHSUSI May 23, 2022
  • Matokeo ya Uchaguzi kwa wanafunzi wa kidato cha kwanza 2023 yatangazwa, bofya link hapa chini kuona waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza 2023 kwa upande wa Halmashauri ya Lushoto December 14, 2022
  • MATOKEO YA DARASA SABA YATANGAZWA November 22, 2020
  • Agalia

Habari mpya

  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI

    February 26, 2023
  • ZIARA YA KATIBU WA MWENEZI KATIKA WILAYA YA LUSHOTO

    February 22, 2023
  • SULEIMANI MZEE SULEIMANI KATIBU WA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) MKOA WA TANGA AFANYA ZIARA YA KUTEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA LUSHOTO

    February 03, 2022
  • MAAFISA UGANI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA LUSHOTO WAKABIZIWA PIKIPIKI

    January 21, 2022
  • Agalia

Video

HOTUBA FUPI YA KATIBU MWENEZI KITAIFA WA KATI WA ZIARA FUPI ALIYOIFANYA KATIKA WILAYA YA LUSHOTO
Video nyingine

Maunganisho ya haraka

  • organisation structure
  • COUNCIL HISTORY
  • TAMISEMI

Tovuti zenye Mahusiano

  • TOVUTI YA MKOA WA TANGA
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2019
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • National website
  • UTUMISHI

Waangaliaji wa nje

world map hits counter

Waangaliaji wa ndani

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    MAGUZONI, 18 BARABARA YA HALMASHAURI, 21782 Lushoto,Tanga

    Postal Address: P.O.BOX 32 Lushoto

    Telephone: +255(027)2977216

    Mobile: +255 755 723 374

    Email: ded@lushotodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto.Haki zote zimeifadhiwa