• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Lushoto District Council
Lushoto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto

  • mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Historia
    • Dira na Dhamira
      • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Muundo
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Utumishi na Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufatiliaji
        • Planning
      • Afya
        • Healthy
      • Fedha na Biashara
        • Finance
      • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
        • Elimu ya sekondari
      • Maji
        • water sector
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
        • Agriculture and Irrigation
      • Huduma za ufugaji
        • Huduma za ufugaji
      • Maliasili Ardhi na Mipango Mji
      • Maendeleo ya Jamii Wanawake Vijana Watoto na Wazee
        • Community development
      • Ujenzi na Zima Moto
        • Works and fire rescure
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
        • Internal Auditor unit
      • Teknolojia ya Habari na mawasiliano
        • Information communication and public Relation
      • Manunuzi na Ugavi
        • Manunuzi na Ugavi
      • Mazingira na Usafi
        • Environment and sanitation
      • Uchaguzi
        • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezajia
    • Vivutio vya Utalii
      • Tourist attraction investiment area
    • Kilimo
      • Agriculture Investment Areas
    • Mazao ya misitu
      • Forest products
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
      • Health services offered
    • Huduma za Elimu
      • Education services offered
    • Huduma za Kilimo
      • Agriculture services offered
    • livestock and fisheries services
      • livestock and fisheries services offered
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Uchumi Uongozi na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati za maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba mbalimbali
    • Ghala la Picha

HALMASHAURI YA WILAYA YA LUSHOTO KWA KUSHIRIKIANA NA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM YAENDESHA MAFUNZO KWA WAONGOZA WATALII

Imetumwa: October 3rd, 2025

HALMASHAURI ya Wilaya ya Lushoto kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam imeendesha mafunzo maalum kwa Waongoza Watalii, lengo likiwa ni kuboresha huduma za utalii na kukuza ujuzi wa mawasiliano ya kitaaluma kwa wahudumu wa sekta hiyo muhimu.

Mafunzo hayo yalifanyika katika Ukumbi wa Mikutano uliopo ndani ya jengo la Kituo cha Taarifa za Utalii, Nyerere Square, Wilayani Lushoto, yakihusisha waongoza watalii kutoka maeneo mbalimbali ya wilaya hiyo.

Akifungua rasmi mafunzo hayo, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto, Dkt. Ikupa Harrison Mwasyoge, alimshukuru Mwezeshaji wa mafunzo hayo, Rachel Mwalujobo kwa kuichagua Lushoto, huku pia akiwashukuru Waongoza watalii waliokubali kushiriki mafunzo hayo.

Dkt. Mwasyoge, pia aliendelea kumshukuru Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuifungua sekta ya Utalii nchini kutokana na sera za Serikali yake ya Awamu ya Sita.

Pia, Dkt. Mwasyoge alitumia fursa hiyo kuwaasa Vijana kujiepusha na vitendo vya uvunjifu wa amani, huku akiwataka kujitokeza Kupiga Kura Oktoba 29, 2025 Katika Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani.

Mada kuu ya mafunzo ilikuwa Ujuzi wa Mawasiliano Kitaalam ambapo washiriki walifundishwa mbinu mbalimbali za kuwasiliana kwa ufanisi, kuelewa tofauti za kitamaduni, na jinsi ya kutoa taarifa sahihi kuhusu vivutio vya utalii kwa njia ya kitaaluma na yenye mvuto.

Akizungumza Katika mafunzo hayo, Bi. Rachel Mwalujobo alisema kwamba ni muhimu kwa Waongoza watalii kuwajua wageni na tamaduni zao kwenye Mawasiliano huku akisisitiza kuwa kuwa mawasiliano bora ni msingi wa huduma zenye ubora katika sekta ya utalii.

Lushoto ni moja ya maeneo yenye vivutio vya kipekee vya utalii nchini Tanzania, vikiwemo mandhari ya kuvutia ya milima ya Usambara, maporomoko ya maji, misitu na  urithi wa kiutamaduni. Kupitia uwekezaji katika mafunzo na uboreshaji wa huduma, Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto inalenga kuongeza mchango wa utalii katika uchumi wa wananchi.

Matangazo ya Kawaida

  • WALIOITWA KWENYE USAILI LUSHOTO October 06, 2025
  • WALIOITWA KWENYE USAILI MLALO October 06, 2025
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA KATA YA MNAZI February 19, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III KUANZIA TAREHE 17/03/2021-18/03/2021. March 08, 2021
  • Agalia

Habari mpya

  • WATUMISHI 19 WA IDARA YA AFYA WAAGWA LUSHOTO

    October 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA LUSHOTO KWA KUSHIRIKIANA NA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM YAENDESHA MAFUNZO KWA WAONGOZA WATALII

    October 03, 2025
  • WAKUSANYAJI MAPATO WATUNUKIWA VYETI LUSHOTO DC, MIKAKATI YA KUBORESHA UKSANYAJI KWA MWAKA WA FEDHA 2025 - 2026 YAWEKWA

    August 27, 2025
  • MHE. KUBECHA AKABIDHI NG’OMBE BORA WA MBEGU KWA WAFUGAJI WA TARAFA YA UMBA

    August 12, 2024
  • Agalia

Video

HOTUBA FUPI YA KATIBU MWENEZI KITAIFA WA KATI WA ZIARA FUPI ALIYOIFANYA KATIKA WILAYA YA LUSHOTO
Video nyingine

Maunganisho ya haraka

  • organisation structure
  • COUNCIL HISTORY
  • TAMISEMI

Tovuti zenye Mahusiano

  • TOVUTI YA MKOA WA TANGA
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2019
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • National website
  • UTUMISHI

Waangaliaji wa nje

world map hits counter

Waangaliaji wa ndani

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    MAGUZONI, 18 BARABARA YA HALMASHAURI, 21782 Lushoto,Tanga

    Postal Address: P.O.BOX 32 Lushoto

    Telephone: +255(027)2977216

    Mobile: +255 755 723 374

    Email: ded@lushotodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto.Haki zote zimeifadhiwa