• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Lushoto District Council
Lushoto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto

  • mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Historia
    • Dira na Dhamira
      • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Muundo
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Utumishi na Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufatiliaji
        • Planning
      • Afya
        • Healthy
      • Fedha na Biashara
        • Finance
      • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
        • Elimu ya sekondari
      • Maji
        • water sector
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
        • Agriculture and Irrigation
      • Huduma za ufugaji
        • Huduma za ufugaji
      • Maliasili Ardhi na Mipango Mji
      • Maendeleo ya Jamii Wanawake Vijana Watoto na Wazee
        • Community development
      • Ujenzi na Zima Moto
        • Works and fire rescure
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
        • Internal Auditor unit
      • Teknolojia ya Habari na mawasiliano
        • Information communication and public Relation
      • Manunuzi na Ugavi
        • Manunuzi na Ugavi
      • Mazingira na Usafi
        • Environment and sanitation
      • Uchaguzi
        • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezajia
    • Vivutio vya Utalii
      • Tourist attraction investiment area
    • Kilimo
      • Agriculture Investment Areas
    • Mazao ya misitu
      • Forest products
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
      • Health services offered
    • Huduma za Elimu
      • Education services offered
    • Huduma za Kilimo
      • Agriculture services offered
    • livestock and fisheries services
      • livestock and fisheries services offered
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Uchumi Uongozi na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati za maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba mbalimbali
    • Ghala la Picha

Utumishi na Utawala

 IDARA YA UTUMISHI NA UTAWALA

Idara ya Utumishi na Utawala ni miongoni mwa Idara zilizomo kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto iliyoanzishwa rasmi tarehe 29/06/2017 kutokana na mabadiliko yaliyofanyika katika utekelezaji na mafanikio ya awali ya matakwa ya sheria za Serikali za Mitaa ya Mwaka 1962 kifungu cha 333 iliyopitishwa na Bunge la Tanganyika. Kutokana na ukubwa wa eneo la Kiutawala, Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto iligawanywa na kupata Halmashauri mbili zinazojitegemea (Lushoto na Bumbuli) hili lilifanyika Mwaka 2012.

MAENEO YA KIUTAWALA.

Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto una Majimbo Mawili (2) ya Uchaguzi, Jimbo la UChaguzi Lushoto na Jimbo la UChaguzi Mlalo, Zipo Tarafa 5 na Kata 33, Vijiji 125, Vitongoji 948 na Mitaa ipatayo 9.

Vilevile Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto ina jumla ya Watumishi wa Umma wapatao 3412 ambao wote hawa wapo kwenye Idara zilizopo ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto, Idara nyingine ni kama vile Afya, Elimu (Msingi na Sekondari)Kilimo, Ushirika na Umwagiliaji, Mifugo na Uvuvi, Ujenzi, Ardhi Maliasili na Misitu, Maendeleo ya Jamii, Fedha na Mipango na Uchumi. Pia vipo vitengo kama vile Sheria, Mazingira, Utawala Bora, TEHAMA, Biashara na Mapato, pamoja na Nyuki.

Idara hizi zote hufanya kazi na kuwajibika moja kwa moja kiutumishi kupitia Idara ya Utumishi na Utawala.

MALENGO YA IDARA.

  •  Kuondoa urasmimu ili kuongeza kasi ya utekelezaji katika uendeshaji wa shughuli za Halmashauri
  • Kurejesha nidhamu ya Watumishi wa Umma na kubana matumizi kwa kuongeza uwazi na kusimamia sheria, Kanuni, Miongozo na Taratibu za uwajibikaji wa viongozi na Watumishi Umma ili wawajibike kwa Wananchi ambao ndio wateja wa Halmashauri na Waajiri wakuu wa Watumishi wa Umma kwa kupiga Vita rushwa, Ubadhilifu, Ufisadi, Uzembe, ukiukwaji wa maadili, uvivu, Urasimu na Utumishi hewa kwa kuwajibishha wanaojihusisha na vitendo hivyo.

MAJUKUMU YA IDARA.

  • Kupokea na kusimamia taratibu za ajira
  • Uendeshaji na uelimishaji rasilimali watu
  • Kusimamia na kuratibu taratibu za upandishaji vyeo kwa Watumishi wa Umma
  • Kushughulikia Maslahi  na stahiki za Watumishi wa Umma
  • Kutunza na kuhuisha kumbukumbu za rasilimali watu
  • Kutoa huduma za kiutawala na kuhakikisha yanakuwepo Mazingira mazuri na salama ya kufanyia kazi kwa watumishi wa umma
  • Kubuni na kutekeleza sera ya usimamizi wa rasilimali watu katika Utumishi wa Umma
  • Kupanga Mipango ya Rasilimali watu katika Utumishi wa Umma
  • Kutunga na kusimamia utekelezaji wa sera ya serikali
  • Kuratibu maboresho katika Sekta ya Umma
  • Kuratibu kalenda ya vikao vya Baraza la Waheshimiwa Madiwani, Kamati mbalimbali za Madiwani, Vikao vya Idara vya Maendeleo vya Kata (WDC) Mikutano Mikuu ya Vijiji na Wajumbe wa Serikali ya Vijiji pamoja na Mikutano ya Vitongoji.
  • Kupokea malalamiko na kuyatafutia njia za ufumbuzi
  • Kushauri watumishi kufanya kazi kwa kuzingatia taratibu, Sheria na kanuni ili kuepuka na kuzuia migogoro

MAMBO MENGINE MUHIMU YANAYOFANYIKA.

Idara ya Utumishi na Utawala ya Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto hutekeleza majukumu yake kwa kufuata na kuzingatia kanuni na misingi ifuatayo

  •  Kuzingatia utaalamu kwa:-
  • Kutoa huduma bora
  • Kufanya kazi kwa bidii
  • Kutokuwa na upendeleo
  • Matumizi sahihi ya taarifa
  •  Uaminifu kwa kuwataka Watumishi kutenda kazi zao kwa uadilifu wa hali ya juu
  • Kutimiza wajibu kwa kufanya na kuonyesha:-
  • Uti kwa Serikali
  • Kuwajibika kwa Umma
  • Kusheshimu Sheria
  •  Njia sahihi za Utunzaji wa kumbukumbu na nyaraka kwa kutumia taratibu zinazotakiwa.

 

MAFANIKIO YA IDARA:

Kuondoa tatizo la watumishi kutolipwa Mishahara yao kutokana na kuwepo kwa mfumo wa kuwaingiza kwenye Pay roll na kuwafuta ndani ya mfumo wa Pay roll watumishi wanaostaafu kufariki na kuhama.

CHANGAMOTO ZILIZOPO.

Matatizo katika mfumo punde panapotokea kukatika kwa Umeme na Mtandao unapokuwa chini.

DIRA YA HALMASHAURI:-

Kuwa na jamii yenye uwezo wa kufikia huduma bora na endelevu za Kijamii na kiuchumi ili kuwa na maisha bora kwa kila mtu ifikapo Mwaka 2025

DHAMIRA YA HALMASHAURI :

Kutoa huduma bora za kijamii na kiuhcumi kwa kutumia rasilimali zilizopo kupitia Utawala Bora.

Matangazo ya Kawaida

  • MAJINA YA WALIOITWA KWA KAZI YA MUDA YA UKUSANYAJI WA ANUANI ZA MAKAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA LUSHOTO March 18, 2022
  • TANGAZO LA KAZI ZA UDEREVA NA KATIBU MAHSUSI May 23, 2022
  • Matokeo ya Uchaguzi kwa wanafunzi wa kidato cha kwanza 2023 yatangazwa, bofya link hapa chini kuona waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza 2023 kwa upande wa Halmashauri ya Lushoto December 14, 2022
  • MATOKEO YA DARASA SABA YATANGAZWA November 22, 2020
  • Agalia

Habari mpya

  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI

    February 26, 2023
  • ZIARA YA KATIBU WA MWENEZI KATIKA WILAYA YA LUSHOTO

    February 22, 2023
  • SULEIMANI MZEE SULEIMANI KATIBU WA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) MKOA WA TANGA AFANYA ZIARA YA KUTEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA LUSHOTO

    February 03, 2022
  • MAAFISA UGANI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA LUSHOTO WAKABIZIWA PIKIPIKI

    January 21, 2022
  • Agalia

Video

HOTUBA FUPI YA KATIBU MWENEZI KITAIFA WA KATI WA ZIARA FUPI ALIYOIFANYA KATIKA WILAYA YA LUSHOTO
Video nyingine

Maunganisho ya haraka

  • organisation structure
  • COUNCIL HISTORY
  • TAMISEMI

Tovuti zenye Mahusiano

  • TOVUTI YA MKOA WA TANGA
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2019
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • National website
  • UTUMISHI

Waangaliaji wa nje

world map hits counter

Waangaliaji wa ndani

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    MAGUZONI, 18 BARABARA YA HALMASHAURI, 21782 Lushoto,Tanga

    Postal Address: P.O.BOX 32 Lushoto

    Telephone: +255(027)2977216

    Mobile: +255 755 723 374

    Email: ded@lushotodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto.Haki zote zimeifadhiwa