• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Lushoto District Council
Lushoto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto

  • mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Historia
    • Dira na Dhamira
      • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Muundo
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Utumishi na Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufatiliaji
        • Planning
      • Afya
        • Healthy
      • Fedha na Biashara
        • Finance
      • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
        • Elimu ya sekondari
      • Maji
        • water sector
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
        • Agriculture and Irrigation
      • Huduma za ufugaji
        • Huduma za ufugaji
      • Maliasili Ardhi na Mipango Mji
      • Maendeleo ya Jamii Wanawake Vijana Watoto na Wazee
        • Community development
      • Ujenzi na Zima Moto
        • Works and fire rescure
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
        • Internal Auditor unit
      • Teknolojia ya Habari na mawasiliano
        • Information communication and public Relation
      • Manunuzi na Ugavi
        • Manunuzi na Ugavi
      • Mazingira na Usafi
        • Environment and sanitation
      • Uchaguzi
        • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezajia
    • Vivutio vya Utalii
      • Tourist attraction investiment area
    • Kilimo
      • Agriculture Investment Areas
    • Mazao ya misitu
      • Forest products
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
      • Health services offered
    • Huduma za Elimu
      • Education services offered
    • Huduma za Kilimo
      • Agriculture services offered
    • livestock and fisheries services
      • livestock and fisheries services offered
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Uchumi Uongozi na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati za maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba mbalimbali
    • Ghala la Picha

KATA YA MLOLA NA KATA YA MAKANYA WASALIMIWA KWA JINA LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

Imetumwa: October 7th, 2021

Kata mbili, ambazo ni Kata ya Mlola na Kata ya Makanya zilizopo katika wilaya ya Lushoto. Tarehe 06/10/2021 zimepata ugeni wa viongozi mbalimbali wa Wilaya ya Lushoto na pia ugeni Kutoka katika Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto. Ikiwa ni ziara  ya kukagua miradi ya Maendeleo na kusikiliza na kutatua kero za wananchi wa wilaya ya lushoto inayofanywa na Mkuu wa Wilaya ya Lushoto, Mh Karist Lazaro.

Ziara iyo ilianzia Kata ya Mlola katika Kijiji cha Ungo ambapo kulikua na Mradi wa Maendeleo wa jengo moja ambalo lina madarasa mawili ya kusomea wananafunzi.

Ziara ikaendelea mpaka kwenye Kijiji cha Mazashai kwenye Shule ya Msingi Mgambo ambayo ni Shule Shikizi Kutoka Kwenye Shule Mama, Shule ya Msingi Mazashai. Katika shule hiyo ya Mgambo, Mh. Karist Lazaro alikagua  Majengo Mawili kila moja likiwa na Vyumba viwili vya Madarasa. Shule iyo Shikizi imeanzishwa kwa Lengo la Kuondoa Kero kwa Wanafunzi ambao walikua wanalazimika kutembea umbali mrefu mpaka kwenda kufika shule ya Msingi Mazashai. Mh. Karist Lazaro aliwapa nafasi wananchi wa Kijiji icho kusema kero zao, wanakijij ao walikua na Ombi la Kuongezewa Walimu katika Shule hiyo ambayo ina idadi ndogo ya walimu.

Kijiji cha Lwandai, Mh Karist Lazaro alikagua Miradi Miwili kwenye shule ya Sekondari Mlongwema na Ujenzi wa Chuo cha Veta.

katika Shule ya Sekondari Mlongwema, Mradi uliokaguliwa ni Maabara ya Sayansi. Na pia Kwenye Chuo cha Veta alikagua Majengo yote ya chuo icho ambayo Bado ujenzi unaendelea.

Zahanati ya Kijiji cha Mdando, Mh Karist Lazaro aliendelea na Ziara mpaka kwenye kijiji cha Mdando ambapo alikagua jengo la Zahanati ya Kijiji icho cha Mdando ambalo limejengwa kwa Nguvu za Wananchi wa kijiji icho cha Mdando.

Kijiji cha Bwaya. katika kijiji cha Bwaya, katika Shule ya Msingi Bosha. Ambapo alikagua Jengo moja lenye Madarasa Mawili ya kusomea wanafunzi.

Mwisho wa ziara ulikua ni Katika Kata ya Makanya, katika kata iyo, Mh Karist Lazaro alitembea Maeneo Mbalimbali na alitoa usuruhishi katika kero mbalimbali za Wananchi wa Kata iyo ya Makanya na baadae aliweka Mkutano wa Azara Kwenye uwanja wa Ofisi za Chama cha Mapinduzi(CCM) Kweurasi, ili kuongea na wananchi na Kusikiliza na Kutatua Kero mbalimbali za Wananchi. Katika mkutano uo wananchi walitoa kero zao na kuuliza Maswali mbalimbali ambayo yalijibiwa na Wataalam, Wakuu wa Idara Mbalimbali na Wakuu wa Taasisi mbalimbali

 Katika ziara iyo Mkuu wa wilaya ya lushoto, Mh. Karist Lazaro aliongozana na Viongozi wa Chama cha Mapinduzi(CCM) Wilaya ya Lushoto, Mbunge wa jimbo la Lushoto, Mh. Shaban Shekilindi, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Lushoto, Mh. Methew Mbaruku, Diwani wa Kata ya Mlola, Mh. Ramadhan Mkamba na Diwani wa kata ya Makanya, Mh. Zanieri Kipingu,  Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto, Bi. Ikupa Harrison Mwasyoge, Wakuu wa Idara mbalimbali wa Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto na Wakuu wa Idara wa Taasisi Mbalimbali.

Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE MAFUNZO UANDIKISHA WA WAPIGA KURA NA UENDESHAJI MFUMO WA UANDIKISHAJI WA (BVRS) February 08, 2025
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA KATA YA MNAZI February 19, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III KUANZIA TAREHE 17/03/2021-18/03/2021. March 08, 2021
  • MKURUGENZI MTENDAJI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA LUSHOTO ANAWATANGAZIA WANANCHI WOTE KUWA VIKUNDI VYOTE VYA KIJAMII VYA KUWEKA NA KUKOPA (VICOBA, VSLA, HISA, LIMCA NK) April 06, 2021
  • Agalia

Habari mpya

  • MHE. KUBECHA AKABIDHI NG’OMBE BORA WA MBEGU KWA WAFUGAJI WA TARAFA YA UMBA

    August 12, 2024
  • MHE. KUBECHA AKABIDHI NG’OMBE BORA WA MBEGU KWA WAFUGAJI WA TARAFA YA UMBA

    August 12, 2024
  • MKUU WA WILAYA YA LUSHOTO AFANYA ZIARA KATA YA MANOLO

    July 03, 2024
  • MKUU WA WILAYA YA LUSHOTO AFANYA ZIARA KATA YA MANOLO

    July 03, 2024
  • Agalia

Video

HOTUBA FUPI YA KATIBU MWENEZI KITAIFA WA KATI WA ZIARA FUPI ALIYOIFANYA KATIKA WILAYA YA LUSHOTO
Video nyingine

Maunganisho ya haraka

  • organisation structure
  • COUNCIL HISTORY
  • TAMISEMI

Tovuti zenye Mahusiano

  • TOVUTI YA MKOA WA TANGA
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2019
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • National website
  • UTUMISHI

Waangaliaji wa nje

world map hits counter

Waangaliaji wa ndani

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    MAGUZONI, 18 BARABARA YA HALMASHAURI, 21782 Lushoto,Tanga

    Postal Address: P.O.BOX 32 Lushoto

    Telephone: +255(027)2977216

    Mobile: +255 755 723 374

    Email: ded@lushotodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto.Haki zote zimeifadhiwa