• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Lushoto District Council
Lushoto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto

  • mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Historia
    • Dira na Dhamira
      • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Muundo
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Utumishi na Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufatiliaji
        • Planning
      • Afya
        • Healthy
      • Fedha na Biashara
        • Finance
      • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
        • Elimu ya sekondari
      • Maji
        • water sector
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
        • Agriculture and Irrigation
      • Huduma za ufugaji
        • Huduma za ufugaji
      • Maliasili Ardhi na Mipango Mji
      • Maendeleo ya Jamii Wanawake Vijana Watoto na Wazee
        • Community development
      • Ujenzi na Zima Moto
        • Works and fire rescure
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
        • Internal Auditor unit
      • Teknolojia ya Habari na mawasiliano
        • Information communication and public Relation
      • Manunuzi na Ugavi
        • Manunuzi na Ugavi
      • Mazingira na Usafi
        • Environment and sanitation
      • Uchaguzi
        • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezajia
    • Vivutio vya Utalii
      • Tourist attraction investiment area
    • Kilimo
      • Agriculture Investment Areas
    • Mazao ya misitu
      • Forest products
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
      • Health services offered
    • Huduma za Elimu
      • Education services offered
    • Huduma za Kilimo
      • Agriculture services offered
    • livestock and fisheries services
      • livestock and fisheries services offered
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Uchumi Uongozi na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati za maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba mbalimbali
    • Ghala la Picha

KIKAO CHA BARAZA LA MADIWANI WA HALMASHAURI YA LUSHOTO

Imetumwa: April 30th, 2021

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Lushoto Mh.Methew Mbaruku  awaongoza madiwani wote wa Halmashauri kwenye kikao cha baraza kilichofanyika katika ukumbi wa Halmashauri tarehe 29/4/2021.  Kikao hicho pia kilihudhuriwa na Mkuu wa Wilaya ya Lushoto  Mh .January Lugangika ,mwakilishi kutoka ofisi ya  RAS Tanga, wakuu wa Idara wakiongoza na Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya  Bi.Ikupa Harrison Mwasyoge,Ma maneja kutoka taasisi mbalimbali za serikali kama vile Tanesco,  Luwasa , Mahakama , wawakilishi wa vyama vya siasa  pamoja na baadhi ya wananchi wa wilaya ya Lushoto.

Katika Kikao hicho Mkuu wa wilaya ya Lushoto aliiitolea ufafanuzi wa salamu maaalum ya Jamhuri ya Muungano ya kazi iendelee katika kusimamia uchumi wa kati tulioupata hivi karibuni,mipango yote maendeleo na miradi ya  kimkakati iweze kukamilika kwa wakati,kutekeleza  ilani ya  chama  tawala na ulinzi na usalama. na kufanyakazi kwa bidii na uaminifu. Pia katika kikao hicho aliwasihi madiwani kuhakikisha mikutano yote ya  kisheria katika ngazi ya kata na kijii inafanyika kalingana na ratiba zao na wanahudhuria mikutano hiyo ili kuitolea ufafanuzi baadhi ya hoja.Mkuu wa wilaya pia aliwasihi madiwani  wanasimamia kilimo katika kata zao,wanatatua  migogoro ya wafugaji na wakulima,

 Katika elimu Mkuu  wa wilaya alisisitiza umuhimu wa chakula cha mchana mashuleni hasa hasa shule za msingi na  kuwasihi waheshimiwa madiwani kuwahimiza wazazi kuchangia gharam za chakula kwa watoto wao.Katika kipindi hiki cha baridi wanafunzi washonewe nguo za kuzuia baridi kama vile suruali na ijabu kwa  wanafunzi wa kike na niwajibu  wa wazazi kuhakikisha wanagharamia .Kuhusu miundombinu na vyanzo vya maji vilivyo katika kata zao mkuu wa wilaya ya Lushoto aliwasihi waheshimiwa madiwani wanawaelekeza  wananchi umuhimu wa kutunza miundombinu kwani serikali inatumia fedha nyingi kuijenga.

Kuhusu vyombo vya habari mweshimiwa mkuu wa wilaya aliwashukuru kwa kazi nzuri wanayo ifanya na waendelee kutanga mambo yote mazuri yanayofanywa na Halmashauri.Baada ya salamu za Mkuu wa wilaya taarifa mbalimbali za utekelezaji shughuli za maendeleo katika robo ya tatu ziliwasilishwa na wenyeviti wa kamati  mbalimbali za Halmashauri zikiwemo 

Kamati ya kudhibiti na kupambana na Ukimwi

Kamati ya Elimu Afya na Maji

Kamati ya fedha Uongozi na Mipango

Kamati ya maadili ya wah. Madiwani




 

Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE MAFUNZO UANDIKISHA WA WAPIGA KURA NA UENDESHAJI MFUMO WA UANDIKISHAJI WA (BVRS) February 08, 2025
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA KATA YA MNAZI February 19, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III KUANZIA TAREHE 17/03/2021-18/03/2021. March 08, 2021
  • MKURUGENZI MTENDAJI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA LUSHOTO ANAWATANGAZIA WANANCHI WOTE KUWA VIKUNDI VYOTE VYA KIJAMII VYA KUWEKA NA KUKOPA (VICOBA, VSLA, HISA, LIMCA NK) April 06, 2021
  • Agalia

Habari mpya

  • MHE. KUBECHA AKABIDHI NG’OMBE BORA WA MBEGU KWA WAFUGAJI WA TARAFA YA UMBA

    August 12, 2024
  • MHE. KUBECHA AKABIDHI NG’OMBE BORA WA MBEGU KWA WAFUGAJI WA TARAFA YA UMBA

    August 12, 2024
  • MKUU WA WILAYA YA LUSHOTO AFANYA ZIARA KATA YA MANOLO

    July 03, 2024
  • MKUU WA WILAYA YA LUSHOTO AFANYA ZIARA KATA YA MANOLO

    July 03, 2024
  • Agalia

Video

HOTUBA FUPI YA KATIBU MWENEZI KITAIFA WA KATI WA ZIARA FUPI ALIYOIFANYA KATIKA WILAYA YA LUSHOTO
Video nyingine

Maunganisho ya haraka

  • organisation structure
  • COUNCIL HISTORY
  • TAMISEMI

Tovuti zenye Mahusiano

  • TOVUTI YA MKOA WA TANGA
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2019
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • National website
  • UTUMISHI

Waangaliaji wa nje

world map hits counter

Waangaliaji wa ndani

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    MAGUZONI, 18 BARABARA YA HALMASHAURI, 21782 Lushoto,Tanga

    Postal Address: P.O.BOX 32 Lushoto

    Telephone: +255(027)2977216

    Mobile: +255 755 723 374

    Email: ded@lushotodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto.Haki zote zimeifadhiwa