• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Lushoto District Council
Lushoto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto

  • mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Historia
    • Dira na Dhamira
      • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Muundo
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Utumishi na Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufatiliaji
        • Planning
      • Afya
        • Healthy
      • Fedha na Biashara
        • Finance
      • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
        • Elimu ya sekondari
      • Maji
        • water sector
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
        • Agriculture and Irrigation
      • Huduma za ufugaji
        • Huduma za ufugaji
      • Maliasili Ardhi na Mipango Mji
      • Maendeleo ya Jamii Wanawake Vijana Watoto na Wazee
        • Community development
      • Ujenzi na Zima Moto
        • Works and fire rescure
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
        • Internal Auditor unit
      • Teknolojia ya Habari na mawasiliano
        • Information communication and public Relation
      • Manunuzi na Ugavi
        • Manunuzi na Ugavi
      • Mazingira na Usafi
        • Environment and sanitation
      • Uchaguzi
        • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezajia
    • Vivutio vya Utalii
      • Tourist attraction investiment area
    • Kilimo
      • Agriculture Investment Areas
    • Mazao ya misitu
      • Forest products
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
      • Health services offered
    • Huduma za Elimu
      • Education services offered
    • Huduma za Kilimo
      • Agriculture services offered
    • livestock and fisheries services
      • livestock and fisheries services offered
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Uchumi Uongozi na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati za maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba mbalimbali
    • Ghala la Picha

KIKAO CHA BARAZA MAALUM CHA KUPITIA HOJA ZA MKAGUZI NA MDHIBITI WA HESABU ZA SERIKALI (CAG) CHINI YA MKUU WA MKOA WA TANGA

Imetumwa: May 31st, 2020

Mweshimiwa Mkuu wa  mkoa wa Tanga ndugu  Martine Shigela aongoza kikao cha baraza maalum  la Halmashauri ya wilaya ya Lushoto kwa ajili ya kupitia hoja za mkaguzi na mdhibiti wa Hesabu za serikali kwa mwaka  wa fedha 2018/19. Wakati anahutubia kikao hicho aliwapongeza madiwani kwa kuisimamia vizuri Halmashauri na kuiwezesha Halmashauri kupata hati safi mfululizo na kumpogeza  mwenyekiti wa Halmashuri kwa kuendesha vikao na  kuwaongaza  wah.madiwani kidemokrasia pia aliwakumbusha kujiepusha na migogoro ambayo inarudisha maendeleo ya Halmashauri nyuma .Pamoja na kuwapongeza pia aliwaomba kuendelea kuisimamia Halmashauri ili iongeze juhudi za kukusanya  mapato kwa kuwa Halmashauri bado iko nyuma kiasilimia kulingana na malengo iliyojiwekea.Pia alitumia fursa hiyo kutoa maagizo kwa mkuu wa wilaya na  Mkurugenzi kuhakikisha fedha zote zilizokusanywa na mawakala au watumishi ambazo hazijiwekwa banki kuhakikisha zinaweka banki kabla ya mwaka wa fedha  kuisha. Kwa taarifa aliyokuwa nayo ilikuwa ilikuwa inaonyesha Halmashauri ya Lushoto ina kiasi  cha sh .milion tatu za kitanzani (3,000,000) ambazo hazija pelekwa benki kiasi ambacho kinaonekana kuwa kidogo ukilinganishwa na Halmashauri nyingine na kuipongeza Halmashauri kwa  hilo. 

Mweshimiwa Mkuu wa Mkoa  wa Tanga alitoa maelekezo mbalimbali kwa Halmashauri kuhakikisha madeni yao  yote yanalipwa kabla ya kipindi chao cha uongozi kufikia tamati au mwisho ili wakistaafu waone fahari kuitumikia Halmashauri na kuhakisha mikopo ambayo wameingia kwa udhamini wa Halmashauri inalipwa ili watakapokuwa wamestaafu wasifatwefatwe na maafisa wa banki kudai marejesho ya mikopo yao waliochukuwa wakati wanaitumikia Halmashauri.

Mkuu wa Mkoa wa Tanga alitoa maelekezo kwa Halmashuri kuhakikisha zile asilimia kumi ya  mikopo ya wanawake na vijana inapelekwa kwa walengwa kulingana na miongozo iliyopo pia kuhakikisha marejesho ya mikopo hiyo inafatiliwa na inarejeshwa kwa wakati na kuisifia Halmshauri kuonyesha jitihada za kutoa mikopo hiyo na kuhimiza juhudi hizo ziongezeke nakuifatilia mikopo hiyo na kuhakikisha inarejesha kwa wakati ili iweze kusaidia watu wengine.

Pia mkuu wa mkoa alitolea ufafanuzi mzuri wa mchakato mzima wa uuzaji wa shamba la mnazi baada ya mchakatoa huo kunugunikiwa na baadhi ya wanasiasa ikiwemo madiwani pia kujitokeza kwenye hoja za CAG. Mkuu huyo wa mkoa wakati anatoa ufafanuzi alibainisha kuwepo  kwa upungufu(vacuum) wa kutotoa taarifa sahihi kwa wahusika hali iliyopelekea watu kutengeneza taarifa zao zisizo sahihi na kupelekea minogono isiyokuwa na tija  katika Halmashauri na kupelekea baadhi ya watumishi kufukuzwa kazi na baada ya ufanuzi huo wajumbe walionyesha kulidhika na maelezo ya Mh.Mkuu wa Mkoa na kuelekeza  mchakato mzima  ukamilike ikiwa ni  pamoja na kupima hilo shamba ili serikali iweze kupata  mapato yake  pia na kuuza viwanja na Halmashauri iweze kuongeza mapato



Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE MAFUNZO UANDIKISHA WA WAPIGA KURA NA UENDESHAJI MFUMO WA UANDIKISHAJI WA (BVRS) February 08, 2025
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA KATA YA MNAZI February 19, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III KUANZIA TAREHE 17/03/2021-18/03/2021. March 08, 2021
  • MKURUGENZI MTENDAJI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA LUSHOTO ANAWATANGAZIA WANANCHI WOTE KUWA VIKUNDI VYOTE VYA KIJAMII VYA KUWEKA NA KUKOPA (VICOBA, VSLA, HISA, LIMCA NK) April 06, 2021
  • Agalia

Habari mpya

  • MHE. KUBECHA AKABIDHI NG’OMBE BORA WA MBEGU KWA WAFUGAJI WA TARAFA YA UMBA

    August 12, 2024
  • MHE. KUBECHA AKABIDHI NG’OMBE BORA WA MBEGU KWA WAFUGAJI WA TARAFA YA UMBA

    August 12, 2024
  • MKUU WA WILAYA YA LUSHOTO AFANYA ZIARA KATA YA MANOLO

    July 03, 2024
  • MKUU WA WILAYA YA LUSHOTO AFANYA ZIARA KATA YA MANOLO

    July 03, 2024
  • Agalia

Video

HOTUBA FUPI YA KATIBU MWENEZI KITAIFA WA KATI WA ZIARA FUPI ALIYOIFANYA KATIKA WILAYA YA LUSHOTO
Video nyingine

Maunganisho ya haraka

  • organisation structure
  • COUNCIL HISTORY
  • TAMISEMI

Tovuti zenye Mahusiano

  • TOVUTI YA MKOA WA TANGA
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2019
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • National website
  • UTUMISHI

Waangaliaji wa nje

world map hits counter

Waangaliaji wa ndani

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    MAGUZONI, 18 BARABARA YA HALMASHAURI, 21782 Lushoto,Tanga

    Postal Address: P.O.BOX 32 Lushoto

    Telephone: +255(027)2977216

    Mobile: +255 755 723 374

    Email: ded@lushotodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto.Haki zote zimeifadhiwa