• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Lushoto District Council
Lushoto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto

  • mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Historia
    • Dira na Dhamira
      • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Muundo
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Utumishi na Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufatiliaji
        • Planning
      • Afya
        • Healthy
      • Fedha na Biashara
        • Finance
      • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
        • Elimu ya sekondari
      • Maji
        • water sector
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
        • Agriculture and Irrigation
      • Huduma za ufugaji
        • Huduma za ufugaji
      • Maliasili Ardhi na Mipango Mji
      • Maendeleo ya Jamii Wanawake Vijana Watoto na Wazee
        • Community development
      • Ujenzi na Zima Moto
        • Works and fire rescure
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
        • Internal Auditor unit
      • Teknolojia ya Habari na mawasiliano
        • Information communication and public Relation
      • Manunuzi na Ugavi
        • Manunuzi na Ugavi
      • Mazingira na Usafi
        • Environment and sanitation
      • Uchaguzi
        • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezajia
    • Vivutio vya Utalii
      • Tourist attraction investiment area
    • Kilimo
      • Agriculture Investment Areas
    • Mazao ya misitu
      • Forest products
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
      • Health services offered
    • Huduma za Elimu
      • Education services offered
    • Huduma za Kilimo
      • Agriculture services offered
    • livestock and fisheries services
      • livestock and fisheries services offered
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Uchumi Uongozi na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati za maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba mbalimbali
    • Ghala la Picha

KIKAO KAZI CHA MKUU WA WILAYA YA LUSHOTO NA WAKANDARASI WANAOFANYA KAZI NDANI YA WILAYA YA LUSHOTO

Imetumwa: March 25th, 2020

Mkuu wa wilaya ya  Lushoto Mh. Januari Lugangika  ametoa onyo  kali  kwa  makandarasi wote wanaofanya kazi katika wilaya ya lushoto katika  kutekeleza mirandi mbalimbali ya maendeleo alipokutana nao kwenye kikao cha  pamoja na wajumbe wa bodi za zabuni  ili kuhakikisha miradi hiyo ikamilike kwa wakati na ubora unaotakiwa.

Katika kikao hicho  alikemea vikali suala la rushwa kati ya wakandarasi na  bodi zinazotoa  zabuni za  ujenzi, kwani kumekuwa  na  kulegalega kwa  kazi kutokana na kupewa kazi kwa maakandarasi wasio na sifa na kutokuwa na vitendea kazi vya kutosha hali hali inayosababisha kuchelesha kazi au kushindwa kumalizika kwa wakati. 

Ili kukabiliana  na hali hiyo Mkuu  wa wilaya hata sita kuchukua hatua kali  kwa yeyote  atakayejihusisha na vitendo hivyo ikiwa ni pamoja na kumkamata na kumweka ndani pia na  kumfutia leseni yake.Wakati huo Mh. Mkuu wa wilaya  alitembelea hospitali ya  Walaya ya Lushoto ili kujionea mwenyewe eneo lililotengwa  kama  karantini ya  wagonjwa wa corona.Akitoa taarifa ya maadalizi ya kukabiliana na  ugonjwa wa corona Kaimu mganga Mkuu Bi Agnes Kwagilwa  alisema  madaktari wamejipanga  na timu nzima  imekamilika  na huduma zitakuwa masaa 24.

Wakati huo  Mkurugenzi  mtendaji  wa Halmashauri ya wilaya ya  Lushoto  ndg Ikupa Harrison Mwasyoge akimwakilisha  Mkuu wa wilaya ya  Lushoto amakabidhi  vifaa vilivyotolewa na Ofisi ya  Mkuu wa Mkoa  wa Tanga  Kwa  waathirika wa mafuriko  mwishoni mwa  mwaka 2019 katika tarafa ya Mlalo wilayani Lushoto, Vifaa  hivyo ni kama ifuatavyo mchele kilo 100, Maharage kilo 40 ,Mafuta ya kupikia lita 100 , magodoro 61 pamoja na shuka 41

Pia alitoa  angalizo  kwa wananchi wanaoishi mabondeni  kuhama  mara moja ili kuepukana na majanga  yanaweza  kujitokeza  kutoka na mvua  nyingi zinazotarajiwa  kunyesha mwanzoni mwa  mwezi April 2020.Pamoja   na  hayo alisisitiza  kilimo cha matuta/makinga maji ili kuzuia maporomoko ya maji toka  milimani.


Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE MAFUNZO UANDIKISHA WA WAPIGA KURA NA UENDESHAJI MFUMO WA UANDIKISHAJI WA (BVRS) February 08, 2025
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA KATA YA MNAZI February 19, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III KUANZIA TAREHE 17/03/2021-18/03/2021. March 08, 2021
  • MKURUGENZI MTENDAJI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA LUSHOTO ANAWATANGAZIA WANANCHI WOTE KUWA VIKUNDI VYOTE VYA KIJAMII VYA KUWEKA NA KUKOPA (VICOBA, VSLA, HISA, LIMCA NK) April 06, 2021
  • Agalia

Habari mpya

  • MHE. KUBECHA AKABIDHI NG’OMBE BORA WA MBEGU KWA WAFUGAJI WA TARAFA YA UMBA

    August 12, 2024
  • MHE. KUBECHA AKABIDHI NG’OMBE BORA WA MBEGU KWA WAFUGAJI WA TARAFA YA UMBA

    August 12, 2024
  • MKUU WA WILAYA YA LUSHOTO AFANYA ZIARA KATA YA MANOLO

    July 03, 2024
  • MKUU WA WILAYA YA LUSHOTO AFANYA ZIARA KATA YA MANOLO

    July 03, 2024
  • Agalia

Video

HOTUBA FUPI YA KATIBU MWENEZI KITAIFA WA KATI WA ZIARA FUPI ALIYOIFANYA KATIKA WILAYA YA LUSHOTO
Video nyingine

Maunganisho ya haraka

  • organisation structure
  • COUNCIL HISTORY
  • TAMISEMI

Tovuti zenye Mahusiano

  • TOVUTI YA MKOA WA TANGA
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2019
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • National website
  • UTUMISHI

Waangaliaji wa nje

world map hits counter

Waangaliaji wa ndani

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    MAGUZONI, 18 BARABARA YA HALMASHAURI, 21782 Lushoto,Tanga

    Postal Address: P.O.BOX 32 Lushoto

    Telephone: +255(027)2977216

    Mobile: +255 755 723 374

    Email: ded@lushotodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto.Haki zote zimeifadhiwa