• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Lushoto District Council
Lushoto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto

  • mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Historia
    • Dira na Dhamira
      • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Muundo
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Utumishi na Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufatiliaji
        • Planning
      • Afya
        • Healthy
      • Fedha na Biashara
        • Finance
      • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
        • Elimu ya sekondari
      • Maji
        • water sector
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
        • Agriculture and Irrigation
      • Huduma za ufugaji
        • Huduma za ufugaji
      • Maliasili Ardhi na Mipango Mji
      • Maendeleo ya Jamii Wanawake Vijana Watoto na Wazee
        • Community development
      • Ujenzi na Zima Moto
        • Works and fire rescure
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
        • Internal Auditor unit
      • Teknolojia ya Habari na mawasiliano
        • Information communication and public Relation
      • Manunuzi na Ugavi
        • Manunuzi na Ugavi
      • Mazingira na Usafi
        • Environment and sanitation
      • Uchaguzi
        • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezajia
    • Vivutio vya Utalii
      • Tourist attraction investiment area
    • Kilimo
      • Agriculture Investment Areas
    • Mazao ya misitu
      • Forest products
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
      • Health services offered
    • Huduma za Elimu
      • Education services offered
    • Huduma za Kilimo
      • Agriculture services offered
    • livestock and fisheries services
      • livestock and fisheries services offered
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Uchumi Uongozi na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati za maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba mbalimbali
    • Ghala la Picha

MAKABIDHIANO YA MRADI WA JENGO LA SOKO LA MNADANI KATI YA MKANDARASI NA HALMASHAURI

Imetumwa: December 14th, 2018

Mkandarasi wa  Kampuni ya  BULLEM INVESTIMENT LTD  akabidhi jengo la soko la mbogamboga la mnadani  lililoko kata ya malindi wilayani Lushoto lenye thamani ya sh.1,045,500,861,Mradi  wa  ujenzi wa  Jengo la  soko mnadani ulianza  kutekelezwa  mnamo  mwaka 2011 kwa rusuku   ya  maendeleo  inayotolewa na serikali kuu(CDG) na mapato ya Halmashauri ukiwa ni mradi wa kata ya malindi.

Soko hili baada ya kukamilika  litakuwa na  matumizi mbalimbali kama ifuatavyo:

SEHEMU YA CHINI YA JENGO(GROUND FLOOR)

Sehemu  hii  inavizimba  au meza thelathini (30) ambavywo  vitatumiwa  na  wafanyabiashara  wa rejareja  ambao  watauza  mazao ya mbogamboga, na itakuwa na Ofisi za soko na  upande  wa nyuma wa sehemu  hii una ghala  lenye uwezo wa kuhifadhi tani 100 kwa wakati mmoja, 

SEHEMU YA  GOROFA YA KWANZA (FIRST FLOOR)

Sehemu hii inavyumba vya baridi (Cold room) kwa ajili ya kuifadhi  mazao  ya mbogamboga  kabla ya kupelekwa kwenye masoko au kuhifadhi mbogamboga wakati wa msimu ambapo mboga hizo zinakuwa  nyingi na kukosa soko na  mkulima  kupata hasara kama ataziuza kwa kipindi hicho kwa kuogopa kaharibika badala yake itazihifadhi kwenye vyumba hivywo vya baridi (cold room) mpaka hapo bei itakapokuwa nzuri sokoni na mkulima akauza kwa faida. vyumba hivywo  viko viwili na kila kimoja kina uwezo  wa kuhifadhi  kreti 130 za mazao kwa wakati mmoja .Pia  sehemu hii  ina meza sita  za kuchambua mazao kabla ya kuifadhiwa kwenye  vyumba vya baradi(cold room).

SEHEMU YA  GOROFA YA PILI (SECOND FLOOR)

Sehemu hii imejengwa   kwa matumizi mbalimbali  kutegemeana na  hitaji la  wakati husika   mfano  linaweza  kutumika  kama  ukumbi wa mikutano au sherehe  au linaweka  vibanda vya biashara na pia sehemu hii  ina eneo la  Mgahawa  na maliwato na sehemu ya wazi kwa ajili ya kupumzikia






Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE MAFUNZO UANDIKISHA WA WAPIGA KURA NA UENDESHAJI MFUMO WA UANDIKISHAJI WA (BVRS) February 08, 2025
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA KATA YA MNAZI February 19, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III KUANZIA TAREHE 17/03/2021-18/03/2021. March 08, 2021
  • MKURUGENZI MTENDAJI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA LUSHOTO ANAWATANGAZIA WANANCHI WOTE KUWA VIKUNDI VYOTE VYA KIJAMII VYA KUWEKA NA KUKOPA (VICOBA, VSLA, HISA, LIMCA NK) April 06, 2021
  • Agalia

Habari mpya

  • MHE. KUBECHA AKABIDHI NG’OMBE BORA WA MBEGU KWA WAFUGAJI WA TARAFA YA UMBA

    August 12, 2024
  • MHE. KUBECHA AKABIDHI NG’OMBE BORA WA MBEGU KWA WAFUGAJI WA TARAFA YA UMBA

    August 12, 2024
  • MKUU WA WILAYA YA LUSHOTO AFANYA ZIARA KATA YA MANOLO

    July 03, 2024
  • MKUU WA WILAYA YA LUSHOTO AFANYA ZIARA KATA YA MANOLO

    July 03, 2024
  • Agalia

Video

HOTUBA FUPI YA KATIBU MWENEZI KITAIFA WA KATI WA ZIARA FUPI ALIYOIFANYA KATIKA WILAYA YA LUSHOTO
Video nyingine

Maunganisho ya haraka

  • organisation structure
  • COUNCIL HISTORY
  • TAMISEMI

Tovuti zenye Mahusiano

  • TOVUTI YA MKOA WA TANGA
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2019
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • National website
  • UTUMISHI

Waangaliaji wa nje

world map hits counter

Waangaliaji wa ndani

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    MAGUZONI, 18 BARABARA YA HALMASHAURI, 21782 Lushoto,Tanga

    Postal Address: P.O.BOX 32 Lushoto

    Telephone: +255(027)2977216

    Mobile: +255 755 723 374

    Email: ded@lushotodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto.Haki zote zimeifadhiwa