• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Lushoto District Council
Lushoto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto

  • mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Historia
    • Dira na Dhamira
      • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Muundo
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Utumishi na Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufatiliaji
        • Planning
      • Afya
        • Healthy
      • Fedha na Biashara
        • Finance
      • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
        • Elimu ya sekondari
      • Maji
        • water sector
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
        • Agriculture and Irrigation
      • Huduma za ufugaji
        • Huduma za ufugaji
      • Maliasili Ardhi na Mipango Mji
      • Maendeleo ya Jamii Wanawake Vijana Watoto na Wazee
        • Community development
      • Ujenzi na Zima Moto
        • Works and fire rescure
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
        • Internal Auditor unit
      • Teknolojia ya Habari na mawasiliano
        • Information communication and public Relation
      • Manunuzi na Ugavi
        • Manunuzi na Ugavi
      • Mazingira na Usafi
        • Environment and sanitation
      • Uchaguzi
        • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezajia
    • Vivutio vya Utalii
      • Tourist attraction investiment area
    • Kilimo
      • Agriculture Investment Areas
    • Mazao ya misitu
      • Forest products
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
      • Health services offered
    • Huduma za Elimu
      • Education services offered
    • Huduma za Kilimo
      • Agriculture services offered
    • livestock and fisheries services
      • livestock and fisheries services offered
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Uchumi Uongozi na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati za maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba mbalimbali
    • Ghala la Picha

MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI

Imetumwa: February 26th, 2023

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Lushoto  Mh. Methew Mbaruku aongoza kikao cha baraza la madiwani cha robo ya pili katika ukumbi wa Halmashuri ya Lushoto tarehe 25/2/2023.Kikao hicho kilihudhuriwa na viongozi mbalimbali wa chama  na serikali wakiongozwa na kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya, kwa upande wa chama tawala kiliwakilishwa na  mwenyekiti wa chama wa wilaya  na katibu wake ,Mkurugenzi wa Halmashauri ,wataalamu mbalimbali kutoka ofisi ya Mkurugenzi wakiongozwa na wakuu wa Idara na vitengo,Maneja wa maji wa wilaya na taasisi mbalimbali zilizoko katika wilaya, viongozi wa vyama vya siasa, Pia kikao hicho kilihudhuriwa na Mbunge wa Mlalo Mheshimiwa Rashid Shangazi.

Katika kikao hicho wajumbe  walisoma  na kudhibitisha  muhtasari wa kikao cha robo ya kwanza ya baraza kilichofanyika  tarehe 29/11/2022 ,wajumbe waliupitia na kurekebisha makosa ya kimantiki kisha kuupitisha kuwa kumbukumbu ya kudumu ya  Halmashauri.

Katika kikao hicho wenyeviti  wa kamati za kudumu za Halmashauri waliwasilisha  mihtasari ya taarifa za  kamati za kudumu za Halmashauri  kwa kipindi cha robo ya pili   Oct -Desemba 2022/23 kama ifuatavyo-

  •  Kamati ya kudhibiti  na kupambana na ukimwi
  •  kamati  ya uchumi  ujenzi  na mazingira
  • Kamati ya fedha uongozi na mipango
  • Kamati ya maadili  ya wah.madiwani

Mwenyekiti wa  kamati ya kudhibiti na kupambana na ukimwi aliwasilisha  taarifa ya kamati hiyo  ikiwa na agenda  tatu  ambazo zilikuwa ni  nikupitia utekeleza wa yatokanayo ya robo  ya kwanza, utekelezaji wa shughuli za idara  kwa kipindi cha robo ya pili, taarifa ya mapambono ya ukimwi toka kwa wadau kama vile LEVO,IJA,WMAC -MWANGOI, WMAC  MLALO na mengineyo ikiwa ni kamati kutembelea mashule ya msingi na sekondari kukagua utoaji wa elimu ya VVU na UKIMWI

Mwenyikiti wa  kamati ya elimu afya na maji naye aliwasilisha taarifa yake ikiwa na agenda mbalimbali zilizojadiliwa katika kamati yao ikiwa ni  kusoma  na kudhibitisha muhtasari wa kikao cha robo ya kwanza,utekelezaji wa yatokanayo na kikao  cha robo ya kwanza ikiwemo  kikao hicho kupata  taarifa ya maboma ya zahanati ambazo zimeombewa  fedha kwenye bajeti ya 2022/23 ambayo taarifa yake ilitolewa kikaoni   zahanati hizo zikiwa   zahanati za   kwekifyinyu (msale),  chumbageni  , kishangazi  ,kifulio  na Mziragembei, agenda nyingine ilikuwa  ni  kujadili shughuli za utekelezaji za Idara za  elimu msingi na sekondari, afya. Kazi kubwa zilizofanyika katika elimu msingi ni  kusimamia ufanyikaji wa mitahani ya mihula na necta, kushiriki michezo  kukagua madarasa ya UVICO. Kwa upande wa sekondari kufatilia miradi ya maendeleo ya shule za sekondari ufatiliaji wa mitihani ya upimaji ya mihula  na kidato cha nne,kwa upande wa afya  baadhi ya shughuli  zilizofanyika  ni kutoa huduma   kwa familia  malezi , makuzi na maendeleo ya watoto na mashauri ya ndoa.

Mwenyekiti wa kamati ya uchumi ujenzi na mazingira aliwasilisha taarifa yake  kwa kipindi  cha robo ya pili  ikiwa na ageda mbalimbali  ikiwemo  kupita  utekelezaji wa yatokanayo  kwa kikao kilichofanyika 20/09/2022,utekelezaji wa shughuli za Idara  kwa robo ya pili  ambapo idara za kiliomo umwagiliaji na ushirika,maendeleo ya mifungo na uvuvi, maendeleo ya jammii jinsia  watoto na wazee,usafi na mazingira,ardhi,biashara na ujenzi , maliasili na hifadhi ya mazingira  na kitego cha TASAF ziliwasilisha taarifa zake za utekelezaji.

Mwenyekiti wa kamati ya fedha uongozi na mipango ambaye ni mwenyekiti  wa Halmashauri  aliwasilisha  taarifa yake kwa kupitia makamu wake  ikiwa na agenda mbalimbali ikiwemo utekelezaji wa  yatokanayo  wa kikao cha tarehe 09/11/2022  likiwemo swala la shule zilizopelekewa  sh 23,000,000/= kwa ajili ya vyoo ziweze kujulikana , utekezaji wake  ulikuwa kama ifuatavyo ,  shule zilizopelekewa fedha  hizo  ni  Kongei  matundu matano , mshizii matundu manne, mtii matundu manne  na kivingo matundu manne.

Kamati ilipokea taarifa  ya mapato na matumizi  kwa  mwaka fedha 2022/2023 na Halmashauri ikiwa inakisia   kukusanya  jumla ya sh.Tsh. 46,446 ,085,826.00 kutoka  vyanzo mbalimbali za mapato ikijumuisha  bakaa  Tsh,268,437,957.98 kutoka  mwaka  wa fedha 2021/2022 inafanya  bajeti ya mapato yote  kwa mwaka  kufikia  jumla ya sh.46,714,523,783.98.






Matangazo ya Kawaida

  • MAJINA YA WALIOITWA KWA KAZI YA MUDA YA UKUSANYAJI WA ANUANI ZA MAKAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA LUSHOTO March 18, 2022
  • TANGAZO LA KAZI ZA UDEREVA NA KATIBU MAHSUSI May 23, 2022
  • Matokeo ya Uchaguzi kwa wanafunzi wa kidato cha kwanza 2023 yatangazwa, bofya link hapa chini kuona waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza 2023 kwa upande wa Halmashauri ya Lushoto December 14, 2022
  • MATOKEO YA DARASA SABA YATANGAZWA November 22, 2020
  • Agalia

Habari mpya

  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI

    February 26, 2023
  • ZIARA YA KATIBU WA MWENEZI KATIKA WILAYA YA LUSHOTO

    February 22, 2023
  • SULEIMANI MZEE SULEIMANI KATIBU WA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) MKOA WA TANGA AFANYA ZIARA YA KUTEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA LUSHOTO

    February 03, 2022
  • MAAFISA UGANI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA LUSHOTO WAKABIZIWA PIKIPIKI

    January 21, 2022
  • Agalia

Video

HOTUBA FUPI YA KATIBU MWENEZI KITAIFA WA KATI WA ZIARA FUPI ALIYOIFANYA KATIKA WILAYA YA LUSHOTO
Video nyingine

Maunganisho ya haraka

  • organisation structure
  • COUNCIL HISTORY
  • TAMISEMI

Tovuti zenye Mahusiano

  • TOVUTI YA MKOA WA TANGA
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2019
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • National website
  • UTUMISHI

Waangaliaji wa nje

world map hits counter

Waangaliaji wa ndani

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    MAGUZONI, 18 BARABARA YA HALMASHAURI, 21782 Lushoto,Tanga

    Postal Address: P.O.BOX 32 Lushoto

    Telephone: +255(027)2977216

    Mobile: +255 755 723 374

    Email: ded@lushotodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto.Haki zote zimeifadhiwa