• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Lushoto District Council
Lushoto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto

  • mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Historia
    • Dira na Dhamira
      • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Muundo
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Utumishi na Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufatiliaji
        • Planning
      • Afya
        • Healthy
      • Fedha na Biashara
        • Finance
      • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
        • Elimu ya sekondari
      • Maji
        • water sector
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
        • Agriculture and Irrigation
      • Huduma za ufugaji
        • Huduma za ufugaji
      • Maliasili Ardhi na Mipango Mji
      • Maendeleo ya Jamii Wanawake Vijana Watoto na Wazee
        • Community development
      • Ujenzi na Zima Moto
        • Works and fire rescure
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
        • Internal Auditor unit
      • Teknolojia ya Habari na mawasiliano
        • Information communication and public Relation
      • Manunuzi na Ugavi
        • Manunuzi na Ugavi
      • Mazingira na Usafi
        • Environment and sanitation
      • Uchaguzi
        • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezajia
    • Vivutio vya Utalii
      • Tourist attraction investiment area
    • Kilimo
      • Agriculture Investment Areas
    • Mazao ya misitu
      • Forest products
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
      • Health services offered
    • Huduma za Elimu
      • Education services offered
    • Huduma za Kilimo
      • Agriculture services offered
    • livestock and fisheries services
      • livestock and fisheries services offered
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Uchumi Uongozi na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati za maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba mbalimbali
    • Ghala la Picha

BARAZA LA MADIWANI HALMASHAURI YA WILAYA YA LUSHOTO LAPITISHA TAARIFA ZA KAMATI ZA KUDUMU

Imetumwa: November 20th, 2023

KAMATI za Kudumu za Madiwani za Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto (Lushoto DC), Jumamosi, tarehe 18/11/2023 ziliwasilisha taarifa za Kamati hizo na kupitishwa wakati wa Mkutano wa Baraza la Madiwani la Robo ya Kwanza la Mwaka wa Fedha 2023/2024 uliofanyika kwenye Ukumbi wa Halmashauri.

Taarifa zilizowasilishwa kwa ajili ya kupitishwa ni za Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango, Kamati ya Kudhibiti na Kupambana na UKIMWI, Kamati ya Elimu, Afya na Maji, Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira pamoja na Kamati ya Maadili ya Waheshimiwa Madiwani.

Akiwasilisha Taarifa ya Kamati Fedha, Uongozi wa Mipango Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri; Diwani wa Kata ya Mbaramo, Mhe. Hatibu Ulanga, alisema kwamba katika Robo ya Kwanza (Julai - Septemba), Kamati ilifanya vikao vinne vya kawaida ambapo katika vikao hivyo vikao vitatu vimethibitishwa na kimoja hakijathibitishwa.

kwa mujibu wa taarifa ya Kamati hiyo, Katika kipindi cha Julai 2022 – Juni 2023, Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto ilikusanya jumla ya Shilingi za Kitanzania Bilioni 46.57 kutoka katika vyanzo mbalimbali,sawa na asilimia 99.71 ya mapato ya makisio ya bajeti, ambapo Mapato ya ndani yalikuwa ni shilingi bilioni 2.37, ruzuku ya matumizi ya kawaida shilingi bilioni 1.49, mishahara shilingi bilioni 31.7 na miradi ya maendeleo shilingi bilioni 11.

Taarifa hiyo iliendelea kueleza kwamba katika kipindi hicho Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto katika kutekeleza majukumu yake mbalimbali ilitumia Jumla ya shilingi bilioni 46.41 sawa na asilimia 98.71 ya makisio yaliyopangwa kwa mwaka, taarifa ambayo baada ya majadiliano ilipitishwa.

Mbali na taarifa ya Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango, Mkutano huo wa Baraza la Madiwani pia ulipitisha taarifa za Kamati ya Kudhibiti na Kupambana na UKIMWI,  taarifa yake iliwasilishwa na Mwenyekiti wa Kamati hiyoKamati ya Elimu, Afya na Maji, Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira pamoja na Kamati ya Maadili ya Waheshimiwa Madiwani kwa robo ya kwanza ya Mwaka wa Fedha 2023/2024.

Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE MAFUNZO UANDIKISHA WA WAPIGA KURA NA UENDESHAJI MFUMO WA UANDIKISHAJI WA (BVRS) February 08, 2025
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA KATA YA MNAZI February 19, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III KUANZIA TAREHE 17/03/2021-18/03/2021. March 08, 2021
  • MKURUGENZI MTENDAJI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA LUSHOTO ANAWATANGAZIA WANANCHI WOTE KUWA VIKUNDI VYOTE VYA KIJAMII VYA KUWEKA NA KUKOPA (VICOBA, VSLA, HISA, LIMCA NK) April 06, 2021
  • Agalia

Habari mpya

  • MHE. KUBECHA AKABIDHI NG’OMBE BORA WA MBEGU KWA WAFUGAJI WA TARAFA YA UMBA

    August 12, 2024
  • MHE. KUBECHA AKABIDHI NG’OMBE BORA WA MBEGU KWA WAFUGAJI WA TARAFA YA UMBA

    August 12, 2024
  • MKUU WA WILAYA YA LUSHOTO AFANYA ZIARA KATA YA MANOLO

    July 03, 2024
  • MKUU WA WILAYA YA LUSHOTO AFANYA ZIARA KATA YA MANOLO

    July 03, 2024
  • Agalia

Video

HOTUBA FUPI YA KATIBU MWENEZI KITAIFA WA KATI WA ZIARA FUPI ALIYOIFANYA KATIKA WILAYA YA LUSHOTO
Video nyingine

Maunganisho ya haraka

  • organisation structure
  • COUNCIL HISTORY
  • TAMISEMI

Tovuti zenye Mahusiano

  • TOVUTI YA MKOA WA TANGA
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2019
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • National website
  • UTUMISHI

Waangaliaji wa nje

world map hits counter

Waangaliaji wa ndani

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    MAGUZONI, 18 BARABARA YA HALMASHAURI, 21782 Lushoto,Tanga

    Postal Address: P.O.BOX 32 Lushoto

    Telephone: +255(027)2977216

    Mobile: +255 755 723 374

    Email: ded@lushotodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto.Haki zote zimeifadhiwa