• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Lushoto District Council
Lushoto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto

  • mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Historia
    • Dira na Dhamira
      • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Muundo
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Utumishi na Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufatiliaji
        • Planning
      • Afya
        • Healthy
      • Fedha na Biashara
        • Finance
      • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
        • Elimu ya sekondari
      • Maji
        • water sector
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
        • Agriculture and Irrigation
      • Huduma za ufugaji
        • Huduma za ufugaji
      • Maliasili Ardhi na Mipango Mji
      • Maendeleo ya Jamii Wanawake Vijana Watoto na Wazee
        • Community development
      • Ujenzi na Zima Moto
        • Works and fire rescure
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
        • Internal Auditor unit
      • Teknolojia ya Habari na mawasiliano
        • Information communication and public Relation
      • Manunuzi na Ugavi
        • Manunuzi na Ugavi
      • Mazingira na Usafi
        • Environment and sanitation
      • Uchaguzi
        • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezajia
    • Vivutio vya Utalii
      • Tourist attraction investiment area
    • Kilimo
      • Agriculture Investment Areas
    • Mazao ya misitu
      • Forest products
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
      • Health services offered
    • Huduma za Elimu
      • Education services offered
    • Huduma za Kilimo
      • Agriculture services offered
    • livestock and fisheries services
      • livestock and fisheries services offered
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Uchumi Uongozi na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati za maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba mbalimbali
    • Ghala la Picha

MKUTANO WA BARAZA LA WAH. MADIWANI WA TAREHE 10/11/2021

Imetumwa: November 11th, 2021

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Lushoto Mh.Methew Mbaruku awaongoza madiwani wote wa Halmashauri kwenye kikao cha baraza kilichofanyika katika ukumbi wa Halmashauri tarehe 10/11/2021. Kikao hicho pia kilihudhuriwa na Mkuu wa Wilaya ya Lushoto Mh. Karist Lazaro, Maafisa Tarafa,  wakuu wa Idara mbalimbali wa Halmashauri ya wilaya ya Lushoto, wakiongozwa na Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Lushoto, Bi.Ikupa Harrison Mwasyoge, Wageni kutoka taasisi mbalimbali za serikali na Binafsi, wawakilishi wa vyama vya siasa, waandishi wa habari na baadhi ya wananchi wa wilaya ya Lushoto.

Katika Kikao hicho Mkuu wa wilaya ya Lushoto, Mh Karist Lazaro alisalimia kwa salamu maaalum ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kazi iendelee.

Mh Karist Lazaro alisisitiza kuhusu ujenzi wa Madarasa ukamilike kwa wakati ili wanafunzi wapate madarasa ya kusomea na kutatua tatizo ilo la madarasa ambayo pesa zimeshatolewa na Rais Samia Suluhu Hassan

Katika Baraza ilo la Madiwani, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto Bi.Ikupa Harrison Mwasyoge aliwatambulisha Wataalamu wa vitengo mbalimbali, Wakuu wa Idara Mbalimbali wa Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto, Madiwani wote, Wageni wahalikwa na Waandishi wa Habari na kuanza kusoma Ajenda 5 za Mkutano huo wa baraza la Wah. Madiwani wa Tarehe 10/11/2021.

Ajenda hizo zilika ni 1 Kufungua mkutano 2.kusoma na kuthibitisha Muhtasari wa Mkutano wa Tarehe 22/09/2021 3.Taarifa mbalimbali za utekelezaji kwa kipindi cha robo ya kwanza july - septemba.

i. Kamati ya Kuthibiti na Kupambana na UKIMWI.

ii. Kamati ya Elimu, Afya na Maji.

iii.Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira

iv. Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango

v. Kamati ya Maadili ya Wah. Madiwani

4. Maswala ya Kiutumishi

5.Kufunga Mkutano

Matangazo ya Kawaida

  • MAJINA YA WALIOITWA KWA KAZI YA MUDA YA UKUSANYAJI WA ANUANI ZA MAKAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA LUSHOTO March 18, 2022
  • TANGAZO LA KAZI ZA UDEREVA NA KATIBU MAHSUSI May 23, 2022
  • KUITWA KWENYE USAILI August 22, 2022
  • KUITWA KWENYE USAILI August 22, 2022
  • Agalia

Habari mpya

  • SULEIMANI MZEE SULEIMANI KATIBU WA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) MKOA WA TANGA AFANYA ZIARA YA KUTEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA LUSHOTO

    February 03, 2022
  • MAAFISA UGANI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA LUSHOTO WAKABIZIWA PIKIPIKI

    January 21, 2022
  • MKUTANO WA BARAZA LA WAH. MADIWANI WA TAREHE 10/11/2021

    November 11, 2021
  • WATUMISHI LDC KUWAKILISHA MKOA WA TANGA KWENYE MASHINDANO YA AZAM FEDERATION (FA)

    November 10, 2021
  • Agalia

Video

HOTUBA FUPI ILIYOTOLEWA MKUU WA WILAYA YA LUSHOTO WAKATI WA UZINDUZI WA CHANJO YA CORONA KATIKA WILAYA YA LUSHOTO
Video nyingine

Maunganisho ya haraka

  • organisation structure
  • COUNCIL HISTORY
  • TAMISEMI

Tovuti zenye Mahusiano

  • TOVUTI YA MKOA WA TANGA
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2019
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • National website
  • UTUMISHI

Waangaliaji wa nje

world map hits counter

Waangaliaji wa ndani

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    KWEMBAGO

    Postal Address: P.O.BOX 32 Lushoto

    Telephone: +255(027)2977216

    Mobile: +255 755 723 374

    Email: ded@lushotodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto.Haki zote zimeifadhiwa