• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Lushoto District Council
Lushoto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto

  • mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Historia
    • Dira na Dhamira
      • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Muundo
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Utumishi na Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufatiliaji
        • Planning
      • Afya
        • Healthy
      • Fedha na Biashara
        • Finance
      • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
        • Elimu ya sekondari
      • Maji
        • water sector
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
        • Agriculture and Irrigation
      • Huduma za ufugaji
        • Huduma za ufugaji
      • Maliasili Ardhi na Mipango Mji
      • Maendeleo ya Jamii Wanawake Vijana Watoto na Wazee
        • Community development
      • Ujenzi na Zima Moto
        • Works and fire rescure
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
        • Internal Auditor unit
      • Teknolojia ya Habari na mawasiliano
        • Information communication and public Relation
      • Manunuzi na Ugavi
        • Manunuzi na Ugavi
      • Mazingira na Usafi
        • Environment and sanitation
      • Uchaguzi
        • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezajia
    • Vivutio vya Utalii
      • Tourist attraction investiment area
    • Kilimo
      • Agriculture Investment Areas
    • Mazao ya misitu
      • Forest products
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
      • Health services offered
    • Huduma za Elimu
      • Education services offered
    • Huduma za Kilimo
      • Agriculture services offered
    • livestock and fisheries services
      • livestock and fisheries services offered
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Uchumi Uongozi na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati za maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba mbalimbali
    • Ghala la Picha

MKUTANO WA BARAZA LA WAH. MADIWANI WA TAREHE 22/09/2021

Imetumwa: September 22nd, 2021

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Lushoto Mh.Methew Mbaruku  awaongoza madiwani wote wa Halmashauri kwenye kikao cha baraza kilichofanyika katika ukumbi wa Halmashauri tarehe 22/09/2021.  Kikao hicho pia kilihudhuriwa na Mkuu wa Wilaya ya Lushoto  Mh .Karist Lazaro ,mwakilishi kutoka ofisi ya  RAS Tanga, wakuu wa Idara wakiongozwa na Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Lushoto, Bi.Ikupa Harrison Mwasyoge, Ma maneja kutoka taasisi mbalimbali za serikali kama vile Tanesco,  Luwasa , Mahakama , wawakilishi wa vyama vya siasa  pamoja na baadhi ya wananchi wa wilaya ya Lushoto.

Katika Kikao hicho Mkuu wa wilaya ya Lushoto, Mh Karist Lazaro alisalimia kwa salamu maaalum ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kazi iendelee.

Mh Karist Lazaro alisisitiza kuhusu ushirikiano wa Wabunge wote wa Majimbo ya Wilaya ya Lushoto,  Afisa tarafa, Watendaji wa Kata, Watendaji wa Vijiji, Wenyeviti wa vijiji na Mitaa ili kurahisisha utendaji kazi.

Pia alitoa pongezi kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Lushoto, Bi.Ikupa Harrison Mwasyoge na Kamati ya mitihani kwa namna walivyoshirikiana katika kusimamia mtihani wa darasa la saba ambao ulifanyika kwa siku mbili Tarehe 08/09/2021 na tarehe 09/09/2021 Tanzania.

Mwisho, Mkuu wa wilaya ya Lushoto, Mh. Karist Lazaro alihitimisha kwa kusema kua ataanza Ziara yake ya Wilaya nzima ya Lushoto ya kukagua miradi yote ya Maendeleo na kusikiliza na kutatua Kero za Wananchi wa Wilaya ya Lushoto

Katika Baraza ilo la Madiwani, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto Bi.Ikupa Harrison Mwasyoge aliwatambulisha Wataalamu wa vitengo mbalimbali, Wakuu wa Idara Mbalimbali wa Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto, Madiwani wote, Wageni wahalikwa na Waandishi wa Habari na kuanza kusoma Ajenda 7 za Mkutano huo wa baraza la Wah. Madiwani wa Tarehe 22/09/2021.

Ajenda hizo zilika ni 1 Kufungua kikao 2.Kiapo cha Diwani Mteule kata ya Gare Mh. Ernest Pascal Sempeho 3.kusoma na kuthibitisha Muhtasari wa mkutano wa Tarehe 29/09/2021.   4. Taarifa mbalimbali za utekelezaji kwa kipindi cha robo ya nne ya Mwezi Aprili - Juni 2021. Taarifa hizo ni

i. Kamati ya Kuthibiti na Kupambana na UKIMWI.

ii. Kamati ya Elimu, Afya na Maji.

iii.Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira

iv. Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango

v. Kamati ya Maadili ya Wah. Madiwani

5. Kupitia Ratiba ya Vikao kwa Mwaka wa fedha 2021/2022.  6. Maswala ya Kiutumishi  7. Kufunga kikao


 

Matangazo ya Kawaida

  • MAJINA YA WALIOITWA KWA KAZI YA MUDA YA UKUSANYAJI WA ANUANI ZA MAKAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA LUSHOTO March 18, 2022
  • TANGAZO LA KAZI ZA UDEREVA NA KATIBU MAHSUSI May 23, 2022
  • Matokeo ya Uchaguzi kwa wanafunzi wa kidato cha kwanza 2023 yatangazwa, bofya link hapa chini kuona waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza 2023 kwa upande wa Halmashauri ya Lushoto December 14, 2022
  • MATOKEO YA DARASA SABA YATANGAZWA November 22, 2020
  • Agalia

Habari mpya

  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI

    February 26, 2023
  • ZIARA YA KATIBU WA MWENEZI KATIKA WILAYA YA LUSHOTO

    February 22, 2023
  • SULEIMANI MZEE SULEIMANI KATIBU WA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) MKOA WA TANGA AFANYA ZIARA YA KUTEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA LUSHOTO

    February 03, 2022
  • MAAFISA UGANI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA LUSHOTO WAKABIZIWA PIKIPIKI

    January 21, 2022
  • Agalia

Video

HOTUBA FUPI YA KATIBU MWENEZI KITAIFA WA KATI WA ZIARA FUPI ALIYOIFANYA KATIKA WILAYA YA LUSHOTO
Video nyingine

Maunganisho ya haraka

  • organisation structure
  • COUNCIL HISTORY
  • TAMISEMI

Tovuti zenye Mahusiano

  • TOVUTI YA MKOA WA TANGA
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2019
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • National website
  • UTUMISHI

Waangaliaji wa nje

world map hits counter

Waangaliaji wa ndani

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    MAGUZONI, 18 BARABARA YA HALMASHAURI, 21782 Lushoto,Tanga

    Postal Address: P.O.BOX 32 Lushoto

    Telephone: +255(027)2977216

    Mobile: +255 755 723 374

    Email: ded@lushotodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto.Haki zote zimeifadhiwa