• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Lushoto District Council
Lushoto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto

  • mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Historia
    • Dira na Dhamira
      • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Muundo
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Utumishi na Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufatiliaji
        • Planning
      • Afya
        • Healthy
      • Fedha na Biashara
        • Finance
      • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
        • Elimu ya sekondari
      • Maji
        • water sector
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
        • Agriculture and Irrigation
      • Huduma za ufugaji
        • Huduma za ufugaji
      • Maliasili Ardhi na Mipango Mji
      • Maendeleo ya Jamii Wanawake Vijana Watoto na Wazee
        • Community development
      • Ujenzi na Zima Moto
        • Works and fire rescure
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
        • Internal Auditor unit
      • Teknolojia ya Habari na mawasiliano
        • Information communication and public Relation
      • Manunuzi na Ugavi
        • Manunuzi na Ugavi
      • Mazingira na Usafi
        • Environment and sanitation
      • Uchaguzi
        • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezajia
    • Vivutio vya Utalii
      • Tourist attraction investiment area
    • Kilimo
      • Agriculture Investment Areas
    • Mazao ya misitu
      • Forest products
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
      • Health services offered
    • Huduma za Elimu
      • Education services offered
    • Huduma za Kilimo
      • Agriculture services offered
    • livestock and fisheries services
      • livestock and fisheries services offered
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Uchumi Uongozi na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati za maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba mbalimbali
    • Ghala la Picha

MKUU MPYA WA MKOA WA TANGA AJITAMBUISHA RASMI KATIKA WILAYA YA LUSHOTO

Imetumwa: May 8th, 2023

Mkuwa mkoa wa Tanga afanya ziara fupi ya kujitambulisha  rasmi katika wilaya ya Lushoto   na kufanya kikao kifupi na kamati ya fedha na Mipango wakiwawakilisha wah. madiwani, wakuu wa Idara Halmashuri ya lushoto wakiwawakilisha  watumishi wa Halmashauri pia na viongozi mbalimbali wa chama na serikali katika Halmashauri ya Lushoto. Katika ziara hiyo aliongozana na kamati za ulinzi na Usalama za Mkoa na wilaya zikiongzwa na mkuu wa Wiaya ya Lushoto  na baadhi ya watumishi kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa kiongozwa na katibu Tawala wa Mkoa na katibu Tawala wa wilaya ya Lushoto akiwa na mwongozaji wa kikao hicho(MC)  . Katika kikao hicho Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Bi Ikupa Harrison Mwasyoge alimsomea taarifa ya utekelezaji wa majukumu mbalimbali ya katika idara mbalimbali za Halmashauri  mafanikio na chagamoto ambazo Halmashauri inaendelea kuzitafutia ufumbuzi. Hali halisi ya mapato kwa mwaka wa fedha 2022/23 kufikia  Mei ambayo inaonyesha Halmashauri imefika asilimia 70%  makusanyo ikilinganishwa na  makadirio yake iliyojiwekea. Mkuu wa mkoa akijibu taarfa hiyo  alisema Halmashauri haina budi kuongeza jitihada za kukusanya mapato ili kufikisha malengo  kwa asilimia iliyopo na kipindi kilichobaki cha mwaka  wa fedha  Halmashauri iko nyuma kidogo. Akisisitiza hilo Mn.Mkuu wa Mkoa alisema kunamaagizo ambayo amewapa Mkurugenzi na Mwenyekiti wa Halmashuri kama ushauri  kama watazingatia maagizo na ushauri aliyowapa wataongeza mapato ya Halmashauri kwa kiwango kikubwa na kutimiza  malengo.Pia alisisitiza swala la upendo kati ya viongozi na viongozi na watumishi wanaowaongoza bila upendo hakuna kitu kitakachofanyika mpaka aliutelea mfano ambao bwana wetu yesu kristo alipoulizwa na wanafunzi wake kuwa amri kuliko zote ni ipi  yesu alisema ni upendo, hivyo akautolea mfano kwa mtume muhamad ambaye naye alisitiza upendi katika wafuasi wake. Pia alihimiza kufanya kazi kwa bidii ili kuinua uchumi wa kila mtu na Halmashuri nzima na kushuri kilimo cha ngano nacho kipewe kipawa mbele kwa kuwa  kutokuweko na mahitaji makubwa ya ngano siku za usoni kutoka na vita inayoendelelea kati ya Urusi na ukraini. Pia alishukuru sana kwa kutunza mazigira  hali ya hewa ya lushoto ameipenda sana mpaka anawashagaa watu ambao wanataka kuhama Lushoto kwenda sehemunyingine wasifanye hivyo.hata na mwenyewe alitamani kukaa Lushoto.

Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE MAFUNZO UANDIKISHA WA WAPIGA KURA NA UENDESHAJI MFUMO WA UANDIKISHAJI WA (BVRS) February 08, 2025
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA KATA YA MNAZI February 19, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III KUANZIA TAREHE 17/03/2021-18/03/2021. March 08, 2021
  • MKURUGENZI MTENDAJI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA LUSHOTO ANAWATANGAZIA WANANCHI WOTE KUWA VIKUNDI VYOTE VYA KIJAMII VYA KUWEKA NA KUKOPA (VICOBA, VSLA, HISA, LIMCA NK) April 06, 2021
  • Agalia

Habari mpya

  • MHE. KUBECHA AKABIDHI NG’OMBE BORA WA MBEGU KWA WAFUGAJI WA TARAFA YA UMBA

    August 12, 2024
  • MHE. KUBECHA AKABIDHI NG’OMBE BORA WA MBEGU KWA WAFUGAJI WA TARAFA YA UMBA

    August 12, 2024
  • MKUU WA WILAYA YA LUSHOTO AFANYA ZIARA KATA YA MANOLO

    July 03, 2024
  • MKUU WA WILAYA YA LUSHOTO AFANYA ZIARA KATA YA MANOLO

    July 03, 2024
  • Agalia

Video

HOTUBA FUPI YA KATIBU MWENEZI KITAIFA WA KATI WA ZIARA FUPI ALIYOIFANYA KATIKA WILAYA YA LUSHOTO
Video nyingine

Maunganisho ya haraka

  • organisation structure
  • COUNCIL HISTORY
  • TAMISEMI

Tovuti zenye Mahusiano

  • TOVUTI YA MKOA WA TANGA
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2019
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • National website
  • UTUMISHI

Waangaliaji wa nje

world map hits counter

Waangaliaji wa ndani

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    MAGUZONI, 18 BARABARA YA HALMASHAURI, 21782 Lushoto,Tanga

    Postal Address: P.O.BOX 32 Lushoto

    Telephone: +255(027)2977216

    Mobile: +255 755 723 374

    Email: ded@lushotodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto.Haki zote zimeifadhiwa