• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Lushoto District Council
Lushoto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto

  • mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Historia
    • Dira na Dhamira
      • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Muundo
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Utumishi na Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufatiliaji
        • Planning
      • Afya
        • Healthy
      • Fedha na Biashara
        • Finance
      • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
        • Elimu ya sekondari
      • Maji
        • water sector
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
        • Agriculture and Irrigation
      • Huduma za ufugaji
        • Huduma za ufugaji
      • Maliasili Ardhi na Mipango Mji
      • Maendeleo ya Jamii Wanawake Vijana Watoto na Wazee
        • Community development
      • Ujenzi na Zima Moto
        • Works and fire rescure
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
        • Internal Auditor unit
      • Teknolojia ya Habari na mawasiliano
        • Information communication and public Relation
      • Manunuzi na Ugavi
        • Manunuzi na Ugavi
      • Mazingira na Usafi
        • Environment and sanitation
      • Uchaguzi
        • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezajia
    • Vivutio vya Utalii
      • Tourist attraction investiment area
    • Kilimo
      • Agriculture Investment Areas
    • Mazao ya misitu
      • Forest products
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
      • Health services offered
    • Huduma za Elimu
      • Education services offered
    • Huduma za Kilimo
      • Agriculture services offered
    • livestock and fisheries services
      • livestock and fisheries services offered
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Uchumi Uongozi na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati za maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba mbalimbali
    • Ghala la Picha

MUENDELEZO WA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO NA KUSIKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI WA WILAYA YA LUSHOTO INAYOFANYWA NA MKUU WA WILAYA YA LUSHOTO, MH.KARIST LAZARO

Imetumwa: October 5th, 2021

Mkuu wa wilaya ya lushoto, Mh. Karist Lazaro akiendelea na ziara yake ya kukagua miradi ya maendeleo na kusikiliza na kutatua kero za wananchi wa wilaya ya Lushoto. Jana tarehe 04/10/2021 alitembelea kata ya Kwai. Katika ziara hiyo, Mh. Karist Lazaro aliongozana na Mbunge wa jimbo la Lushoto, Mh. Shaban Shekilindi, Diwani wa Kata ya Kwai, Mh. Idd Omary, Viongozi wa Chama cha Mapinduzi(CCM) Wilaya ya Lushoto, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto, Bi. Ikupa Harrison Mwasyoge, Wakuu wa Idara mbalimbali wa Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto na Wakuu wa Idara wa Taasisi Mbalimbali.

Baadhi ya miradi iliyokaguliwa alianza Kijiji cha Kwai kilichopo Kata ya Kwai kwa kukagua Majengo Mawili ya vyumba vya Madarasa na jengo moja la Nyumba ya walimu katika shule ya Msingi Dindira ambapo aliongozwa na Mtendaji wa kata ya Kwai, Johari Jonas Ndosi na Diwani wa Kata ya Kwai Mh. Idd Omary. Na pia alienda kukagua jengo la Zahanati ya kijiji cha Kwai ambalo limejengwa kwa nguvu za Wananchi.

Mara baada ya hapo alienda katika kijiji cha Kireti kukagua jengo moja la darasa moja katika shule ya Msingi Kireti na pia alienda shule ya Sekondari Kireti kukagua Majengo ya Maabara

Mwisho alielekea kwenye Kijiji cha Kwemakame ambapo alianza kwa kukagua jengo moja la Madarasa mawili Katika Shule ya Msingi Kwemakame na pia alienda kukagua jengo la Zahanati ya Kijiji cha Kwemakame. Mh. Karist Lazaro alipendekeza Zahanati iyo mara itakapokamilika ipandishwe kutoka Zahanati na iwe Kituo cha Afya cha kijiji cha Kwemakame.

Baada ya Ziara iyo ya ukaguzi Mh. Karist Lazaro aliongea na Wananchi katika Uwanja wa Shule ya Msingi Kwemakami ili kusikiliza kero za wananchi wa Kata ya Kwai. alisikiliza kero za wananchi na kutatua kero mbalimbali zilizopo katika kata iyo ya Kwai. wananchi waliuliza Maswali ya apo kwa apo na kujibiwa na pia kutoa kero zao kwa Mh.Karist Lazaro

Katika kuhitimisha Mkutano uo, Mh. Karist Lazaro alisema viongozi wanatakiwa kutohukumu ila wanatakiwa kutoa usuruhishi. Mwisho alisisitiza ushirikiano wa viongozi katika utendaji kazi na alitoa mfano kwa kusema ushirikiano ni Kama Timu ya Mpira ambayo ujengwa na wachezaji Zaidi ya mmoja na ili timu iyo ifanye vizuri inaitaji ushirikiano wa wachezaji wote.

Matangazo ya Kawaida

  • FOMU ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO SHULE ZA SEKONDARI ZA HALMASHAURI YA WILAYA YA LUSHOTO KWA MWAKA 2023 June 12, 2023
  • TANGAZO LA MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU KATIKA HALMASHAURI YA LUSHOTO June 13, 2023
  • KUITWA USAILI KWA KADA ZA MAAFISA WATENDAJI WA VIJIJI DARAJA LA II NA KATIBU MAHSUSI DARAJA II September 16, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 17, 2023
  • Agalia

Habari mpya

  • UFAULU DARASA LA SABA WAPANDA LUSHOTO

    November 28, 2023
  • BARAZA LA MADIWANI HALMASHAURI YA WILAYA YA LUSHOTO LAPITISHA TAARIFA ZA KAMATI ZA KUDUMU

    November 20, 2023
  • MBIO ZA MWENGE UHURU 2023 KATIKA HALMASHAURI YA LUSHOTO

    June 16, 2023
  • MKUU MPYA WA MKOA WA TANGA AJITAMBUISHA RASMI KATIKA WILAYA YA LUSHOTO

    May 08, 2023
  • Agalia

Video

HOTUBA FUPI YA KATIBU MWENEZI KITAIFA WA KATI WA ZIARA FUPI ALIYOIFANYA KATIKA WILAYA YA LUSHOTO
Video nyingine

Maunganisho ya haraka

  • organisation structure
  • COUNCIL HISTORY
  • TAMISEMI

Tovuti zenye Mahusiano

  • TOVUTI YA MKOA WA TANGA
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2019
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • National website
  • UTUMISHI

Waangaliaji wa nje

world map hits counter

Waangaliaji wa ndani

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    MAGUZONI, 18 BARABARA YA HALMASHAURI, 21782 Lushoto,Tanga

    Postal Address: P.O.BOX 32 Lushoto

    Telephone: +255(027)2977216

    Mobile: +255 755 723 374

    Email: ded@lushotodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto.Haki zote zimeifadhiwa