• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Lushoto District Council
Lushoto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto

  • mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Historia
    • Dira na Dhamira
      • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Muundo
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Utumishi na Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufatiliaji
        • Planning
      • Afya
        • Healthy
      • Fedha na Biashara
        • Finance
      • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
        • Elimu ya sekondari
      • Maji
        • water sector
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
        • Agriculture and Irrigation
      • Huduma za ufugaji
        • Huduma za ufugaji
      • Maliasili Ardhi na Mipango Mji
      • Maendeleo ya Jamii Wanawake Vijana Watoto na Wazee
        • Community development
      • Ujenzi na Zima Moto
        • Works and fire rescure
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
        • Internal Auditor unit
      • Teknolojia ya Habari na mawasiliano
        • Information communication and public Relation
      • Manunuzi na Ugavi
        • Manunuzi na Ugavi
      • Mazingira na Usafi
        • Environment and sanitation
      • Uchaguzi
        • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezajia
    • Vivutio vya Utalii
      • Tourist attraction investiment area
    • Kilimo
      • Agriculture Investment Areas
    • Mazao ya misitu
      • Forest products
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
      • Health services offered
    • Huduma za Elimu
      • Education services offered
    • Huduma za Kilimo
      • Agriculture services offered
    • livestock and fisheries services
      • livestock and fisheries services offered
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Uchumi Uongozi na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati za maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba mbalimbali
    • Ghala la Picha

MWENYEKITI WA CCM WILAYA AMPONGEZA DED LUSHOTO KWA USIMAMIZI MZURI WA MIRADI

Imetumwa: January 18th, 2024

MWENYEKITI wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Lushoto, Mhe. Ally Daffa amempongeza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto, Ndg, Ikupa H. Mwasyoge kwa usimamizi bora wa miradi ya maendeleo inayoendelea kutekelezwa ndani ya Halmashauri hiyo.

Akizungumza wakati wa ziara ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo katika Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto iliyofanywa na Kamati ya Siasa ya CCM, Mhe. Daffa alisema kwamba ameridhishwa na hali iliyopo katika utekelezaji wa miradi na kumpongeza, Mkurugenzi pamoja na timu yake ya wataalamu kwa usimamizi bora wa miradi.

"Na mimi niungane na wengine (wajumbe wa Kamati ya Siasa ya CCM Wilaya ya Lushoto) na timu yako ya wataalamu kwa usimamizi mzuri, tumepita  kwenye miradi na kuona kazi iliyofanyika." Alisema Mhe. Daffa.

Akiwa na Kamati ya Siasa ya CCM Wilaya ya Lushoto, Mhe. Daffa amefanya ziara na kukagua miradi kwenye Kata za Makanya, Mlalo na Lushoto lengo likiwa kufuatilia utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM, ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto

Katika ziara hiyo, Kamati Siasa ya CCM, ilitembelea mradi wa Ujenzi wa shule mpya ya Sekondari ya Bombo (M). iliyopo katika Kijiji cha Bombo (M), Kata ya Makanya, Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto wenye thamani ya shilingi milioni 584.2 pamoja na umaliziaji wa Zahanati ya Kijiji hicho wenye thamani ya Shilingi milioni 50.

Baada ya kutoka Kata ya Makanya, ziara hiyo ilitembelea Kata ya Mlalo na kukagua ujenzi wa kinawia mikono, shimo la kondo la nyuma, choo na sehemu ya kuweka tanki la maji katika Kituo cha Afya Mlalo, mradi uliogharimu kiasi cha shilingi milioni 44 kisha wakakagua ujenzi kituo cha Polisi Mlalo na kumalizia na barabara ya lami inayojengwa kwenye kata hiyo.

Ziara hiyo ya Kamati y Siasa iliishia kwenye Kata ya Lushoto katika Hospitali ya Wilaya ambako ilienda kukagua zoezi la kusimika mitambo ya kuzalisha hewa ya oksijeni ambayo itasaidia wagonjwa Lushoto na Wilaya Jirani.

Katika hatua nyingine: Mhe. Daffa amewataka viongozi wa CCM, kuanzia ngazi ya tawi na kata kuhakikisha wanapita mara kwa mara na kukagua utekelezaji wa miradi kwenye maeneo yao ili kama kuna changamoto taarifa itolewe mapema na itatuliwe, lakini pia ametoa wito kwa wataalamu kuhakikisha wanatoa ushirikiano kwa viongozi wa chama kwenye maeneo yao na si kusubiri hadi uongozi wa Wilaya ufike.

Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE MAFUNZO UANDIKISHA WA WAPIGA KURA NA UENDESHAJI MFUMO WA UANDIKISHAJI WA (BVRS) February 08, 2025
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA KATA YA MNAZI February 19, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III KUANZIA TAREHE 17/03/2021-18/03/2021. March 08, 2021
  • MKURUGENZI MTENDAJI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA LUSHOTO ANAWATANGAZIA WANANCHI WOTE KUWA VIKUNDI VYOTE VYA KIJAMII VYA KUWEKA NA KUKOPA (VICOBA, VSLA, HISA, LIMCA NK) April 06, 2021
  • Agalia

Habari mpya

  • MHE. KUBECHA AKABIDHI NG’OMBE BORA WA MBEGU KWA WAFUGAJI WA TARAFA YA UMBA

    August 12, 2024
  • MHE. KUBECHA AKABIDHI NG’OMBE BORA WA MBEGU KWA WAFUGAJI WA TARAFA YA UMBA

    August 12, 2024
  • MKUU WA WILAYA YA LUSHOTO AFANYA ZIARA KATA YA MANOLO

    July 03, 2024
  • MKUU WA WILAYA YA LUSHOTO AFANYA ZIARA KATA YA MANOLO

    July 03, 2024
  • Agalia

Video

HOTUBA FUPI YA KATIBU MWENEZI KITAIFA WA KATI WA ZIARA FUPI ALIYOIFANYA KATIKA WILAYA YA LUSHOTO
Video nyingine

Maunganisho ya haraka

  • organisation structure
  • COUNCIL HISTORY
  • TAMISEMI

Tovuti zenye Mahusiano

  • TOVUTI YA MKOA WA TANGA
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2019
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • National website
  • UTUMISHI

Waangaliaji wa nje

world map hits counter

Waangaliaji wa ndani

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    MAGUZONI, 18 BARABARA YA HALMASHAURI, 21782 Lushoto,Tanga

    Postal Address: P.O.BOX 32 Lushoto

    Telephone: +255(027)2977216

    Mobile: +255 755 723 374

    Email: ded@lushotodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto.Haki zote zimeifadhiwa