• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Lushoto District Council
Lushoto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto

  • mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Historia
    • Dira na Dhamira
      • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Muundo
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Utumishi na Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufatiliaji
        • Planning
      • Afya
        • Healthy
      • Fedha na Biashara
        • Finance
      • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
        • Elimu ya sekondari
      • Maji
        • water sector
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
        • Agriculture and Irrigation
      • Huduma za ufugaji
        • Huduma za ufugaji
      • Maliasili Ardhi na Mipango Mji
      • Maendeleo ya Jamii Wanawake Vijana Watoto na Wazee
        • Community development
      • Ujenzi na Zima Moto
        • Works and fire rescure
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
        • Internal Auditor unit
      • Teknolojia ya Habari na mawasiliano
        • Information communication and public Relation
      • Manunuzi na Ugavi
        • Manunuzi na Ugavi
      • Mazingira na Usafi
        • Environment and sanitation
      • Uchaguzi
        • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezajia
    • Vivutio vya Utalii
      • Tourist attraction investiment area
    • Kilimo
      • Agriculture Investment Areas
    • Mazao ya misitu
      • Forest products
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
      • Health services offered
    • Huduma za Elimu
      • Education services offered
    • Huduma za Kilimo
      • Agriculture services offered
    • livestock and fisheries services
      • livestock and fisheries services offered
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Uchumi Uongozi na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati za maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba mbalimbali
    • Ghala la Picha

TANGAZO LA UWEKAJI WAZI DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA KUFANYIKA TAREHE 17-20/06/2020

Imetumwa: June 14th, 2020

                  

                                                   

Msimamizi wa Uchaguzi jimbo la Lushoto na Mlalo, anawatangazia  wananchi wote kuwa, Tume ya Taifa  ya Uchaguzi itaweka wazi Daftari la Awali la wapiga kura kwa siku NNE kuanzia Tarehe

17-20/06/2020 kwenye vituo vyote  vilivyo tumika wakati wa uboreshaji Daftari la kudumu la wapiga kura.

Uwekaji  wazi huu utafanyika kwa kuzingatia tahadhari zote za afya kuhusu kuzuia maambukizi ya ugonjwa wa  COVID-19  unaosababishwa na Virusi vya Corona.

       ZOEZI HILI LITAHUSU :-

  • Wapiga kura wote walioandikishwa katika Daftari la kudumu la wapiga kura 2015,walioandikishwa wakati wa uboreshaji wa Daftari la kudumu la wapiga kura awamu ya kwanza nay a pili kwa mwaka 2020.
  • Wapiga  kura hawa ni wale  ambao hawakuhakiki taarifa zao wakati wa uwekaji wazi Daftari la Awali la wapiga kura awamu ya kwanza.
  • Wapiga kura watakaohakiki taarifa zao kwenye Daftari la Awali la wapiga kura lilipowekwa wazi  na kukuta picha zao hazipo wanatakiwa kwenda kwenye ofisi za Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto ili wapigwe picha nyingine na kupewa kadi mpya ya mpiga kura.

       UTARATIBU WA UHAKIKI:-

Mpiga kura anaweza kuhakiki taarifa zake kwa njia zifuatazo:-

  • Mpiga kura  mwenyewe kufika  katika kituo  alichojiandikisha na kuhakiki taarifa zake katika orodha itakayokuwa imebandikwa katika kituo hicho.
  • Mpiga kura kupitia simu yake ya kiganjani kupiga namba *152*00# na kufuata maelekezo yatakayomwezesha kuhakiki taarifa zake.
  • Mpiga kura kupiga simu namba 0800112100 na kufuata maelekezo yatakayomwezesha kuhakiki taarifa zake.
  • Mpiga kura kuhakiki taarifa zake kupitia tovuti ya Tume, www.nec.go.tz kwa kubonyeza sehemu iliyoandikwa Uhakiki na kuendelea kufuata maelekezo.

 

 

MAMBO YA KUZINGATIA:-

  • Daftari la awali la wapiga kura litabandikwa katika vituo vyote vilivyo tumika kuandikisha wapiga kura.
  • Iwapo mpiga kura atahakiki taarifa zake kwa kutumia njia yoyote kati ya hizo nne  na kutaka kufanya marekebisho ya taarifa zake atatakiwa kufika Ofisi za Halmashauri ya wilaya ya Lushoto zilizopo Lushoto mjini na kufanya marekebisho.
  • Mpiga  anaehitaji kumuwekea pingamizi Mpiga kura asiye na sifa za kuwemo katika Daftari la Awali la wapiga kura  ataenda  katika kituo kilicho psngwa kwenye Halmashauri husika.
  • Wapiga kura wanatakiwa kutoa taarifa za ndugu waliofariki dunia ili waondolewe kwenye Daftari la kudumu la wapiga kura.
  • ****Katika zoezi hili hakutakuwa na uandikishaji  wa wapiga kura wapya.Aidha,hakutakuwa na uboreshaji wa taarifa za wapiga kura waliohama maeneo yao ya kiuchaguzi,waliopoteza kadi au kadi zao kuharibika****.

**ZOEZI HILI NI LA SIKU NNE TUU,ZINGATIA  MUDA  PIA KUMBUKA KUZINGATIA  KANUNI ZA  AFYA,KWA KUJIKINGA  NA MAAMBUKIZI YA UGONJWA WA CORONA UWAPO KITUONI KWA KUFUATA MAELEKEZO  UTAKAYO PEWA KITUONI ILI KUJIEPUSHA  NA MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA CORONA**

Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE MAFUNZO UANDIKISHA WA WAPIGA KURA NA UENDESHAJI MFUMO WA UANDIKISHAJI WA (BVRS) February 08, 2025
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA KATA YA MNAZI February 19, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III KUANZIA TAREHE 17/03/2021-18/03/2021. March 08, 2021
  • MKURUGENZI MTENDAJI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA LUSHOTO ANAWATANGAZIA WANANCHI WOTE KUWA VIKUNDI VYOTE VYA KIJAMII VYA KUWEKA NA KUKOPA (VICOBA, VSLA, HISA, LIMCA NK) April 06, 2021
  • Agalia

Habari mpya

  • MHE. KUBECHA AKABIDHI NG’OMBE BORA WA MBEGU KWA WAFUGAJI WA TARAFA YA UMBA

    August 12, 2024
  • MHE. KUBECHA AKABIDHI NG’OMBE BORA WA MBEGU KWA WAFUGAJI WA TARAFA YA UMBA

    August 12, 2024
  • MKUU WA WILAYA YA LUSHOTO AFANYA ZIARA KATA YA MANOLO

    July 03, 2024
  • MKUU WA WILAYA YA LUSHOTO AFANYA ZIARA KATA YA MANOLO

    July 03, 2024
  • Agalia

Video

HOTUBA FUPI YA KATIBU MWENEZI KITAIFA WA KATI WA ZIARA FUPI ALIYOIFANYA KATIKA WILAYA YA LUSHOTO
Video nyingine

Maunganisho ya haraka

  • organisation structure
  • COUNCIL HISTORY
  • TAMISEMI

Tovuti zenye Mahusiano

  • TOVUTI YA MKOA WA TANGA
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2019
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • National website
  • UTUMISHI

Waangaliaji wa nje

world map hits counter

Waangaliaji wa ndani

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    MAGUZONI, 18 BARABARA YA HALMASHAURI, 21782 Lushoto,Tanga

    Postal Address: P.O.BOX 32 Lushoto

    Telephone: +255(027)2977216

    Mobile: +255 755 723 374

    Email: ded@lushotodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto.Haki zote zimeifadhiwa