• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Lushoto District Council
Lushoto District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto

  • mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Historia
    • Dira na Dhamira
      • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Muundo
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Utumishi na Utawala
      • Mipango Takwimu na Ufatiliaji
        • Planning
      • Afya
        • Healthy
      • Fedha na Biashara
        • Finance
      • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
        • Elimu ya sekondari
      • Maji
        • water sector
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
        • Agriculture and Irrigation
      • Huduma za ufugaji
        • Huduma za ufugaji
      • Maliasili Ardhi na Mipango Mji
      • Maendeleo ya Jamii Wanawake Vijana Watoto na Wazee
        • Community development
      • Ujenzi na Zima Moto
        • Works and fire rescure
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
        • Internal Auditor unit
      • Teknolojia ya Habari na mawasiliano
        • Information communication and public Relation
      • Manunuzi na Ugavi
        • Manunuzi na Ugavi
      • Mazingira na Usafi
        • Environment and sanitation
      • Uchaguzi
        • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezajia
    • Vivutio vya Utalii
      • Tourist attraction investiment area
    • Kilimo
      • Agriculture Investment Areas
    • Mazao ya misitu
      • Forest products
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
      • Health services offered
    • Huduma za Elimu
      • Education services offered
    • Huduma za Kilimo
      • Agriculture services offered
    • livestock and fisheries services
      • livestock and fisheries services offered
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Uchumi Uongozi na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati za maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba mbalimbali
    • Ghala la Picha

WATUMISHI LDC KUWAKILISHA MKOA WA TANGA KWENYE MASHINDANO YA AZAM FEDERATION (FA)

Imetumwa: November 10th, 2021

Team ya mpira wa miguu ya Watumishi Lushoto District Council watawakilisha mkoa wa Tanga kwenye mashindano ya Azam Federation (FA) nafasi hiyo imepatikana baada ya Team ya Watumishi LDC kuibuka washindi kwenye mchezo kati ya Watumishi LDC na Makorora Stars kwenye mchezo uliochezwa leo tarehe 10/11/2021 katika uwanja wa Mkwakwani Tanga.

Team ya Watumishi LDC wakiongozwa na kocha wao Godfrey Mseli na Afisa Michezo wa Halmashauri ya wilaya ya Lushoto Keneth Mapongo ambaye ndiyo Team Meneja walilazimika kusafiri kutoka Wilayani Lushoto mpaka Tanga jiji kwaajili ya Mchezo huo, wakiwa Wilayani Lushoto. Team hiyo ilifika Katika Ofisi za Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto, wakiwa Ofisini hapo waliagwa rasmi na Wakuu mbalimbali wa Idara. Wakuu hao wa Idara waliongozwa na Mkurugenzi mtendaji wa wilaya ya Lushoto Bi, Ikupa Harrison Mwasyoge

Mchezo huo ulianza mnamo majira ya saa 10:00 kamili jioni ambao ulichezeshwa na refarii Ally Ramadhan na waamuzi wasaidizi Sadiki Bakari na Antony Kimbasha na mwamuzi wanne akiwa ni Asha Ally.

Kikosi cha kwanza cha watumishi LDC kilikua na wachezaji Gerald Mwasa, Sijari Salimu, Saidi Hatibu, Ally Yalinda, Julius Kabunda, Ibrahimu Ramadhan, Christopher Edward, Abdalah Jaha, Maliki Miraji, Hamisi Omary na Florentine Mloka  kwa wachezaji wa Akiba walikua ni Frank Sembo, Godfrey John ambaye aliingia dakika ya 46 kwa kuchukua nafasi ya Maliki Miraji, Hamza Bakari, Joseph Mashimba, Khalidi Juma, Karimu Joamkini, Sakadodo Sakadodo ambaye aliingia dakika ya 46 kwa kuchukua nafasi ya Florentine Mloka, Apesi Madambo ambaye alichukua nafasi ya Abdalah Jaha

Katika mchezo uo uliokua mzuri na wakuvutia Mpaka kipindi cha kwanza cha dakika 45 za kwanza kinamalizika team hizo zilikwenda mapumziko zikiwa hazijafungana kipindi cha pili kilianza huku team zote zikishambuliana. Katika dakika ya 73 ya mchezo huo mshambuliaji Hamisi Omary aliifungia Team yake ya Watumishi LDC bao pekee na la ushindi, Mpaka filimbi ya Mwisho ikipulizwa na refarii Ally Ramadhan, Makorora stars 0 – 1 Watumishi LDC.

Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE MAFUNZO UANDIKISHA WA WAPIGA KURA NA UENDESHAJI MFUMO WA UANDIKISHAJI WA (BVRS) February 08, 2025
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA KATA YA MNAZI February 19, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III KUANZIA TAREHE 17/03/2021-18/03/2021. March 08, 2021
  • MKURUGENZI MTENDAJI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA LUSHOTO ANAWATANGAZIA WANANCHI WOTE KUWA VIKUNDI VYOTE VYA KIJAMII VYA KUWEKA NA KUKOPA (VICOBA, VSLA, HISA, LIMCA NK) April 06, 2021
  • Agalia

Habari mpya

  • MHE. KUBECHA AKABIDHI NG’OMBE BORA WA MBEGU KWA WAFUGAJI WA TARAFA YA UMBA

    August 12, 2024
  • MHE. KUBECHA AKABIDHI NG’OMBE BORA WA MBEGU KWA WAFUGAJI WA TARAFA YA UMBA

    August 12, 2024
  • MKUU WA WILAYA YA LUSHOTO AFANYA ZIARA KATA YA MANOLO

    July 03, 2024
  • MKUU WA WILAYA YA LUSHOTO AFANYA ZIARA KATA YA MANOLO

    July 03, 2024
  • Agalia

Video

HOTUBA FUPI YA KATIBU MWENEZI KITAIFA WA KATI WA ZIARA FUPI ALIYOIFANYA KATIKA WILAYA YA LUSHOTO
Video nyingine

Maunganisho ya haraka

  • organisation structure
  • COUNCIL HISTORY
  • TAMISEMI

Tovuti zenye Mahusiano

  • TOVUTI YA MKOA WA TANGA
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2019
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • National website
  • UTUMISHI

Waangaliaji wa nje

world map hits counter

Waangaliaji wa ndani

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    MAGUZONI, 18 BARABARA YA HALMASHAURI, 21782 Lushoto,Tanga

    Postal Address: P.O.BOX 32 Lushoto

    Telephone: +255(027)2977216

    Mobile: +255 755 723 374

    Email: ded@lushotodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto.Haki zote zimeifadhiwa